Facebook

Friday, 13 June 2014

Wenje: Uchumi wa Tanzania unakua kwenye makaratasi na mifuko ya watawala


"Amesema ni muhimu mjadala huo wa kitaifa kwakua hali mbaya sana kiuchumi,misamaha ya kodi imekua mikubwa,wakubwahawalipi kodi wakati wauza vitumbua wanalipa kodi,uchumi unakua kwenye mifuko ya watawala.Hivyo tuwe na mjadala wa kitaifa wa uchumi tujadiliane na tupate muafaka wa uchumi wetu kwa pamoja"

Hivi huwa wabunge wanakatwa kodi kwenye mishahara yao?



Hivi sasa tunahamia katika site yetu mpya inayoitwa www.bantutz.com ni katika kuboresha huduma zetu za kutoa habari za uhakika na burudani.
 

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment