Diamond bado yupo nchini Marekani,hii picha amepiga pamoja
na mmoja wa mwanachama wa kundi la Wasafi ikimwonesha Diamond akiwa na
meneja wa wasanii wakubwa wa Marekani, akiwemo Trey Song, Big Sean,
Estelle…
Bila shaka kukutana kwao si bure… tutarajie kitu kingine kikubwa toka kwa Diamond?
Bila shaka kukutana kwao si bure… tutarajie kitu kingine kikubwa toka kwa Diamond?
Tuko katika
maboresho hivi karibuni blog hii itakuwa ni site ambayo itaitwa www.bantutz.com ni katika hatua za kuboresha huduma
zetu za kutoa habari,tutakuja katika muonekano mpya na bora zaidi.
0 comments:
Post a Comment