Facebook

Sunday, 15 June 2014

Don jazzy ampa ajira mfanyakazi wa airport aliyefukuzwa baada ya kumpa msaada

Mfanyakazi wa shirika shirika la Airline aliyefukuzwa kazi baada ya kumruhusu kuendesha gari dogo linalotumika kubeba mizigo (arport cart), kinyume cha sheria.

Don Jazzy alifika katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Murtala Mohammed, Lagos Nigeria wakati akielekea kwenye tuzo za MTV Afrika Kusini ambapo aliruhusiwa na mfanyakazi huyo kuendesha kigari hicho tena akiwa na mfanyakazi huyo pembeni.  


Wakati anafanya tukio hilo alirekodi kipande cha video kisha akasafiri akiwa mwenye furaha huku akimshukuru mfanyakazi huyo kwa kuliwezesha zoezi lake. 


Baada ya kumalizana na mambo ya tuzo, Don Jazzy alishitushwa na taarifa za kufukuzwa kazi kwa mfanyakazi huyo ambaye jina lake halikutajwa huku sababu ikiwa tukio linalomhusisha yeye.


Baada ya muda aliamua kumpa ajira kwenye label yake ya muziki inayomiliki wasanii wakubwa kama Dr Sid na Tiwa Savage na akaiambia dunia kupitia Instagram.



Hivi sasa tunahamia katika site yetu mpya inayoitwa www.bantutz.com ni katika kuboresha huduma zetu za kutoa habari za uhakika na burudani

Related Posts:

  • Young Dee alia na mitandao  Staa wa Muziki Young Dee, ametangaza kuwa katika mpango wa kuanza kuwachukulia hatua wasambazaji wa kazi za wasanii mtandaoni ambao huzichukua kazi zao kutoka katika mfumo wa kulipia na kuziweka wazi kwa kila mtu kuzi… Read More
  • BantuTz MAGAZETINI:SOMA KILICHOANDIKWA KATIKA MAGAZETI YOTE YA LEO MACHI 7      BantuTz MAGAZETINI:Ni miongoni mwa huduma bora kabisa tunazozitoa ili wewe mdau wa Bantu usipitwe na habari,stori au taarifa yoyote ile.Tunakuletea kila tunachokipata kwa wakati na muda muafaka.Soma… Read More
  • TANZIA ABDU BONGE AFARIKI DUNIA.Aliyewahi kuwa Meneja wa wasanii na mwanzilishi wa kundi la Tip Top Connection, Abdu Bonge amefariki dunia ghafla usiku Wa kuamkia leo akiwa nyumbani kwake. Mmoja wa wasanii aliye kundi la Tip Top Connection Madee, amesema ku… Read More
  • BantuTz MAGAZETINI:SOMA KILICHOANDIKWA KATIKA MAGAZETI YA LEO MACHI 4     BantuTz MAGAZETINI:Ni miongoni mwa huduma bora kabisa tunazozitoa ili wewe mdau wa Bantu usipitwe na habari,stori au taarifa yoyote ile.Tunakuletea kila tunachokipata kwa wakati na muda muafaka.Soma kilic… Read More
  • GWAJIMA AJISALIMISHA POLISI.Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Uzima na Ufufuo, Josephat Gwajima amejisalimisha kituo cha polisi kati kuhojiwa juu ya kutoa lugha chafu dhidi ya Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Muadhama Polycarp Ka… Read More

0 comments:

Post a Comment