Facebook

Friday, 13 June 2014

Hatimaye Fabrigas atua darajani.!


 Photo: FABREGAS AINGIA DARAJANI
Chelsea wamemsajili kiungo wa zamani wa Arsenal Cesc Fabregas kwa mkataba wa miaka mitano.
Cesc ambaye amekaa miaka mitatu Barcelona, anakwenda Darajani baada ya Arsenal kukataa nafasi ya kwanza ya kumnunua.
Fabregas ambaye yuko Brazil na kikosi cha Spain amesema Chelsea wana mwelekeo anaoutaka na kuongeza kuwa "bado hajamalizana" na Ligi Kuu ya England. 
Fabregas ambaye amenunuliwa kwa takriban pauni milioni 27 atavaa jezi namba 4.

Chelsea wamemsajili kiungo wa zamani wa Arsenal Cesc Fabregas kwa mkataba wa miaka mitano.
Cesc ambaye amekaa miaka mitatu Barcelona, anakwenda Darajani baada ya Arsenal kukataa nafasi ya kwanza ya kumnunua.
Fabregas ambaye yuko Brazil na kikosi cha Spain amesema Chelsea wana mwelekeo anaoutaka na kuongeza kuwa "bado hajamalizana" na Ligi Kuu ya England.
Fabregas ambaye amenunuliwa kwa takriban pauni milioni 27 atavaa jezi namba 4.








Hivi sasa tunahamia katika site yetu mpya inayoitwa www.bantutz.com ni katika kuboresha huduma zetu za kutoa habari za uhakika na burudani.

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment