
Rais mpya wa wa Ukraine Petro poroshenko
Rais mpya wa Ukraine ,tajiri Petro Poroshenko ameapishwa rasmi hii leo katika sherehe iliyofanyika katika bunge la taifa hilo mjini Kiev.
Amesema kuwa atafanya kazi ili kuhifadhi umoja wa taifa hilo na kwamba eneo la Crimea litasalia kuwa chini ya ardhi ya Ukraine.
Ameongezea kuwa atatia saini mkataba wa kuwaruhusu raia wa Ukraine kusafiri katika mataifa ya muungano wa ulaya bila vikwazo vyovyote.
Amesema kuwa hatua hiyo ndio ya kwanza ya kutaka Ukraine kuwa mwanachama kamili wa muungano wa Ulaya.
Tuko katika maboresho hivi karibuni
blog hii itakuwa ni site ambayo itaitwa www.bantutz.com ni katika hatua za
kuboresha huduma zetu za kutoa habari na burudani.Tutakuja katika muonekano
mpya na bora zaidi.Vitu vizuri vipya usivyotarajia utaviona na kufurahia
kupitia www.bantutz.com....
0 comments:
Post a Comment