
Rais
Dkt. Jakaya akiteta jambo na Mkurugenzi Mkuu wa Takwimu Dkt. Albina
Chuwa katika uzinduzi wa chapisho la tatu la Sensa ya Idadi ya Watu na
Makazi.
Hayo yalisemwa na Mkurugenzi Mkuu wa Takwimu Dkt. Albina Chuwa katika uzinduzi wa chapisho la tatu la sensa ya maendeleo ya watu na makazi, ongezeko hilo linakwenda sambamba na kuimarika kwa huduma za afya hapa nchini.
Dkt. Chuwa alisema kuwa kila kaya ilipata fursa ya kwenda katika vituo vya afya kupatiwa huduma na kupunguza magonjwa ambayo yalikuwa tishio kwa watanzania na kusababisha umri wa kuishi kuwa chini kwa miaka michache.

Rais Dkt. Jakaya Kikwete katikati akikata utepe kuashiria uzinduzi wa chapisho la tatu la Sensa ya Maendeleo ya Watu na Makazi.
Idadi hii ni kubwa sana ukilinganisha na ukuaji na upanuaji wa huduma za jamii kama maji, umeme, barabara pamoja na huduma za afya, tusipotumia takwimu hizi kwa umakini hali ya watanzania itakuwa inazidi kuwa ngumu siku hadi siku, kwa sababu ya ongezeko la watu haliendani na uhalisia wa huduma za kijamii.

Mabalozi wanaowakilisha nchi mbalimbali wakimsikiliza kwa makini Rais Dkt. Jakaya Kikwete.
Tuko katika maboresho hivi karibuni
blog hii itakuwa ni site ambayo itaitwa www.bantutz.com ni katika hatua za
kuboresha huduma zetu za kutoa habari na burudani.Tutakuja katika muonekano
mpya na bora zaidi.Vitu vizuri vipya usivyotarajia utaviona na kufurahia
kupitia www.bantutz.com....
0 comments:
Post a Comment