Maneno ya mganga wa kienyeji wa Ghana, Nana Kwaku Bonsam, yameanza
kudhihirika baada ya uongozi wa timu ya taifa ya Ureno kuthibitisha
taarifa za mshambuliaji Cristiano Ronaldo, kutokuwa sehemu ya kikosi cha
timu ya taifa ya Ureno ambacho juzi kilicheza mchezo wa kimataifa wa
kirafiki dhidi ya Mexico.
Nana Kwaku Bonsam, amesema yeye ndiye anayemroga nahodha huyo wa timu ya
taifa ya Ureno, ili asicheze mchezo wa kundi la saba katika fainali za
kombe la dunia ambapo timu ya taifa ya Ureno itapambana na timu ya taifa
ya Ghana, Black Stars.
Kocha mkuu wa timu ya taifa ya Ureno Paul Bento alisema pamoja na
kutarajia kumkosa Ronaldo katika mchezo wa juzi wa kirafiki, bado
hajafahamu ni lini mshambuliaji huyo atakuwa fit kwa ajili ya kujiunga
na wenzake.
Mshambuliaji huyo wa klabu ya Real Madrid anasumbuliwa na maumivu ya
mishipa fulani laini katika mguu wake, ambapo kwa mara ya mwisho
alionekana uwanjani wakati wa mchezo wa hatua ya fainali ya ligi ya
mabingwa barani Ulaya walipocheza dhidi ya Atletico Madrid.
Tuko katika maboresho hivi karibuni
blog hii itakuwa ni site ambayo itaitwa www.bantutz.com ni katika hatua za
kuboresha huduma zetu za kutoa habari na burudani.Tutakuja katika muonekano
mpya na bora zaidi.Vitu vizuri vipya usivyotarajia utaviona na kufurahia
kupitia www.bantutz.com....
Rooney katika mgogoro mzito Brazil
Wayne Rooney achezeshwe katika nafasi gani ?
Njama dhidi ya Wayne Rooney yaweza kuhatarisha matarajio yao katika kombe la dunia. Frank Lampard ameonya.
Uc…Read More
Ghana yakana mgawanyiko kikosini
Ghana ilicharazwa na Marekani mabao mawili kwa moja dhidi ya Marekani katika mechi yao ya kwanza
Shirikisho la soka nchini Ghana,
limekanusha ripoti za …Read More
Nigeria na Iran zatoka sare.
Timu ya Iran na Nigeria zilitoka
sare ya suluhu bin suluhu , katika mechi yao ya kundi F huko Curitiba,
kwenye fainali ya kombe la dunia siku ya Jumatatu.
Timu hiyo ya Carlos Queiroz ilioneka…Read More
Hispania yaaga kombe la dunia Brazil.
Kufuatia ushindi huu wa mabao
2-0 mikononi mwa Chile mabingwa watetezi wa kombe la dunia Uhispania
sasa wamehakiki tikiti za ndege kurejea nyumbani pam…Read More
Marekani yaifumua Ghana 2-1
Marekani yalipiza kisasi cha kushindwa na Ghana 2-1katika kombe la dunia
Bao la kichwa la John Brooks,
katika dakika za mwisho za mechi ziliisaidia Marekani kuilaza Ghana kwa
mabao mawili kwa moja, katika mchuan…Read More
0 comments:
Post a Comment