Monday, 19 May 2014
Mapenzi ya Rihanna na Drake Yadaiwa Kwenda Likizo kwa Mara Nyingine
Imeripotiwa kuwa Drake na Rihanna ambao walionekana kurudisha mapenzi yao kwa miezi michache iliyopita, inasemekana wawili hao wamerudi tena likizo ya mapenzi.
Chanzo kimeiambia US Weekly kuwa Riri na Drizzy walikuwa na ugomvi mwingine tana hivi karibuni kutokana na Drake kuwa na mapenzi mengi kwa Rihanna, kilisema chanzo hicho.
Couple hiyo yenye historia ya kuwa On na Off kwa muda mrefu ilianza kuonesha uhai mpya wa mapenzi yao walipokutana Paris, Ufaransa mwezi February, ambapo Riri alihudhuria show ya Drake, na baada ya hapo wakawa wanaonekana pamoja mara kwa mara.
Endelea kutembelea katemimethsela.blogspot.com kufuatilia kila kitakachokuwa kinaendelea kuhusiana na uhusiano wa Drake na Rihanna
Related Posts:
Dunia yampoteza mtu Mashuhuri,aliyewasaidia wengi.Ni baada ya kupata ajali mbaya ya kutisha.Aiachia Tanzania ujumbe mzito. Mtunzi wa vitabu,mchungaji na msemaji maarufu Duniani,Dr Munroe amefariki Dunia katika ajali ya ndege huko Nchini Bahamasi.Ndege hiyo binafsi ilipata ajali wakati inakaribia kutua kwenye mji wa Bahama.Ajali hiyo imeua wa… Read More
Taasisi ya Vicoba yawapatanisha Diamondi na Ali kiba.Kupitia programe yao ya FOCUS VICOBA itakayowezesha watanzania kupata mikopo online taasis hiyo imewakutanisha Plutnumz na Kiba na kuondoa tofauti zao kwa kutengeneza Tangazo la pamoja kuhamasisha uma kushiriki katika program… Read More
Salama aula DSTVSalama Jabir amepata shavu la kuonekana kwenye Tv tena akihost kipindi cha Tujuane ambacho kitakuwa kinaonekana kupitia televisheni ya Kenya. Katika kipindi hicho cha Tujuane Salama Jabir atakuwa akishirikiana na mtangazaji w… Read More
MISS TANZANIA MPYA NAYE UTATA MTUPU..... MISS Tanzania mpya wa 2014, Lilian Kamazima, amesema alihisi ushindi tangu alipoingia ka tika mashindano hayo, lakini alipokosa taji hakuhuzunika bali alikubali matokeo. Lakini zengwe jipya limeibuliwa jana na kuenezwa… Read More
HIKI NDICHO ALICHOANDIKA CHID BENZ KABLA YA KUPANDA MAHAKAMANI KESHO "Kesho napanda mahakamani asubuhi pale kwa hakimu mkazi kissutu niombeeni kheri koz najua wapo wanaonihitaji bado katika vitu mbali mbali" Comment neno unalopenda kumwambia Chid Benz katika hilo hapa chini… Read More
0 comments:
Post a Comment