Facebook

Monday, 19 May 2014

Ubingwa raha:Watu hawakulala mjini Madrid baada ya Atletico kutwaa ubingwa La Liga..


Filling the streets: Atletico Madrid fans hit the Neptuno fountain to celebrate after their club won the La Liga title by drawing 1-1 with Barcelona in the Nou Camp

FUNIKA mbaya! maelfu ya mashabiki wa Atletico Madrid wameshangilia usiku kucha baada ya timu yao kubeba ubingwa wa La Liga kwa mara ya kwanza ndani ya miaka 18
Mashabiki hao walifunga mitaa ya mji mkuu wa Hispania, Madrid ambapo ndio makao makuu ya Atletico Madrid huku wakimshangilia kocha mkuu, Diego Simeone.
Mastermind: Diego Simeone is hurled into the air by Atletico players after securing the title
Jubilant: Atletico fans were lighting flares and celebrating late into the night
Atletico supporters celebrated long into the night

Related Posts:

  • Webb huenda akachezesha fainali Brazil Refa muingereza anayefahamika kwa ukakamavu wake Howard Webb ni miongoni mwa waamuzi 15 walioteuliwa kusalia Brazil kushiriki mechi zilizosalia za kombe la dunia. Webb mwenye umri wa miaka 42 ni miongoni mwa w… Read More
  • Scolari "Tutashinda bila Neymar" Kocha wa Brazil Luiz Filipe Scolari amesema vijana wake wataweza kucheza bila ya mshambuliaji wake aliyeumia, Neymar, watakapocheza na Ujerumani siku ya Jumanne katika nusu fainali ya Kombe la Dunia. Neymar amepa… Read More
  • Afisa wa Match Hospitality akamatwa Maafisa wa polisi nchini Brazil wamemkamata afisa mkuu mtendaji wa kampuni mshirika wa FIFA kwa tuhuma za uuzaji tiketi za kombe la dun… Read More
  • 5 BORA YA JEZI ZENYE MDHAMINI GHALI DUNIANI. 1. Manchester United(CHEVLORET)-$80 Million 2. Barcelona(Qatar Airways)-$45 Million 3. Bayern Munich(Deutsche Telekom)-$40 Million 4. Real Madrid((Fly Emirates)-$39 Million 5. Liverpool(Standard Chartered)-$31 Million … Read More
  • BRAZIL YAPOKEA KIPIGO CHA MBWA MWIZI  -Brazil yapokea kichapo cha Mbwa mwizi katika mchezo wao wa jana na Ujerumani baada ya kutandikwa bao 7 huku wao wakiambulia bao 1 walilofunga dakika za majeruhi. - Huzuni ilitanda kwa mashabiki wa Timu ya Brazi… Read More

0 comments:

Post a Comment