LeBron
James tayari ni jina kubwa kwenye NBA, hii ikimaanisha sio tatizo kwake
kuwa na magari ya kifahari, biashara kubwa na nyumba kwenye kila mji
anaotaka kuishi. Baada ya kujiunga na Miami Heat miaka kadha nyuma
alinnunua hii nyumba.
Endelea kutembelea katemimethsela.blogspot.com kujua maisha ya mastaa mbalimbali kwa undani zaidi hapahapa bila chenga wala kificho
Ray C akana kurudiana na Mwisho Mwampamba....
Rehema Charamila aka Ray C amekanusha
kilichoandikwa na gazeti la Visa kuwa amerudiana na aliyewahi kuwa
mwakilishi wa Tanzania kwenye shindano la Big Brother Africa mara mbili
Mwisho Mwampamba. Wawili hao waliwahi…Read More
Washindi wa tuzo za KTMA hawa hapa......
1. WIMBO BORA WENYE VIONJO VYA ASILI YA TANZANIA - Bora Mchawi, Dar Bongo Massive
2. MSANII BORA CHIPUKIZI ANAYEIBUKA - Young Killer Msanii Bora Chipukizi
Anayeibuka,
3. WIMBO BORA WA ZOUK - Yahaya, La…Read More
0 comments:
Post a Comment