Facebook

Monday, 16 June 2014

Birthday ya Vicenti Kigosi "ray", Johari ampa salamu tata !!

Leo ni birthday ya mwigizaji Vicenti Kigosi ray, Johari ampa salamu tata, isome hapa
Jana mwigizaji maarufu nchini Vicent kigosi - Ray amesherehekea siku yake ya kuzaliwa huku akipata salamu mbalimbali za pongezi toka kwa mastaa mbalimbali nchini.
Moja ya watu wa kwanza kwanza kumpa salamu hiyo ni swahiba na rafiki yake mkubwa, JB akifuatiwa na mpenzi wake wa zamani Johari ambaye salamu yake inadaiwa na wachunguzi wa mambo kuwa ni kwa namna flani inamponda mpenzi wa sasa wa Ray , Chuchu hans, kutokana na maneno yaliyotumika ya salamu hiyo ambayo Johari anadaiwa kuwahi kuyatumia kumponda Chuchu siku za nyuma.

JB ameandika
''Happy birth day mdogo wangu ray.mungu akupe haja ya moyo wako.''

Na huku Johari akiandika 
''Happy birthday director wa rj na swaiba wangu mungu akuongoze akupe maisha marefu na akuepushe na ‘’mabarazuri’’
Hongera sana kaka kigosi. Mungu akupe maisha marefu.

Tumehamia katika site hii mpya na bado tuko katika maboresho,hii ni katika hatua za awali kabisa kuiboresha site yetu na utoaji wa habari na burudani.Vitu vingi vitaonekana katika site hii mpya hivi karibuni.Endelea kutembelea www.bantutz.com

Related Posts:

  • Mtoto wa Pele jela miaka 33 Edinhio Pele alikuwa mlinda lango kabla ya kusataafu soka Mwanawe gwiji wa soka Brazil na duniani kote, Pele, Edinho Pele, amefungwa jela miaka 33 kwa kufanya biashara haramu ya pesa au kujipatia pesa chafu zilizoto… Read More
  • RAY C alitamani Penzi la kikongwe MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Rehema Chalamila ‘Ray C’, amesema kwa sasa hana mpango wa kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mtu, na kama ikitokea basi atamtaka kuwa na miaka kuanzia 60. Akizungumza katika… Read More
  • Wasanii mbali mbali walipokuwa hospitalini wakisubiri mwili wa marehemu George Tyson Mwenyekiti wa Bongo Muvi, Steve Nyerere, akiwasili katika Hospitali ya Kairuki kusubiri mwili wa marehemu. Steve alivalia tisheti yenye ujumbe 'Why always me' Mke wa marehemu Tyson, Beatrice Shayo akiwa… Read More
  • Diamond aweka historia New Jersey  All Star Club Elizabeth New Jersey Diamond akikamua licha ya show kuchelewa kuanza na wapenzi wa Diamond kushikwa na jazba wakitaka aendelee lakini ikashindika kutokana na muda wa kufunga club kufika. &n… Read More
  • Mwimbaji wa Marekani Ray J matatani.... Mwimbaji wa Marekani Ray J amekamatwa na polisi mjini Beverly Hills kwa tuhuma za kuzozana katika baa ya hoteli ya Beverly Wilshire. Polisi wa Beverly Hills waliitwa baada ya kutokea malalamiko kuwa msanii huyo alimshi… Read More

0 comments:

Post a Comment