Facebook

Monday, 2 June 2014

Maajabu katika kombe la dunia Brazil mwaka huu..

Photo: ZIMESALIA SIKU 10 KABLA YA KUANZA KOMBE LA DUNIA...
Siku kumi kabla ya michuano ya Kombe la Dunia kuanza, tutaanza kuhesabu siku zilizosalia kwa kutazama mawili matatu kuhusu michuano hiyo.
Je unafahamu kuwa BRAZIL 2014:
Hii itakuwa mara ya kwanza teknolojia ya golini kutumika katika Kombe la Dunia. Kutakuwa na kamera 14 katika kila paa ya kila uwanja utakaotumika. Kamera 7 zitakuwa zinatazama goli moja, na 7 nyingine goli jingine. Kamera hizo zimeunganishwa kwenye kompyuta ambayo itatathmini kila mpira utakapopigwa. Mpira unapovuka tu mstari wa goli refa atahisi mtikisiko katika saa maalum atakayokuwa amevaa mkononi. Pia atapata ujumbe mfupi wa maandishi kupitia saa hiyo unaosema "Goli".
Siku kumi kabla ya michuano ya Kombe la Dunia kuanza, tutaanza kuhesabu siku zilizosalia kwa kutazama mawili matatu kuhusu michuano hiyo.
Je unafahamu kuwa BRAZIL 2014:
Hii itakuwa mara ya kwanza teknolojia ya golini kutumika katika Kombe la Dunia. Kutakuwa na kamera 14 katika kila paa ya kila uwanja utakaotumika. Kamera 7 zitakuwa zinatazama goli moja, na 7 nyingine goli jingine. Kamera hizo zimeunganishwa kwenye kompyuta ambayo itatathmini kila mpira utakapopigwa. Mpira unapovuka tu mstari wa goli refa atahisi mtikisiko katika saa maalum atakayokuwa amevaa mkononi. Pia atapata ujumbe mfupi wa maandishi kupitia saa hiyo unaosema "Goli".
 
 Tuko katika maboresho hivi karibuni blog hii itakuwa ni site ambayo itaitwa www.bantutz.com ni katika hatua za kuboresha huduma zetu za kutoa habari,tutakuja katika muonekano mpya na bora zaidi

Related Posts:

  • Wachezaji saba wa Ujerumani waugua mafua.     Wachezaji saba wa Ujerumani wana dalili za ugonjwa wa mafua, saa 24 kabla ya mechi yao ya Kombe la Dunia dhidi ya Ufaransa. Kocha wa Ujerumani Joachim Low amesema wengi wao wana "maumivu ya koo" lakini ha… Read More
  • Neymar azungumzia kuhusu "Pressure" walionayo.     Neymar amekuwa akigonga vichwa vya habari katika magazeti ya Brazil asubuhi ya leo. Namba 10 huyo wa Brazil akizungumza na waandishi wa habari jana, na alipoulizwa kuhusu 'uzito' alionao mabegani kuto… Read More
  • Hazard akataa kulinganishwa na Messi Eden Hazard amesema ana nia ya kufikia kiwango cha Lionel Messi, ila kwa sasa sio lengo lake. Eden Hazard amekataa kulinganishwa kwa ubora na mshambuliaji hatari wa Argentina Lionel Messi, wachezaji hao waw… Read More
  • FIFA yampa ruksa Suarez kufanya mazoezi   FIFA imesema Luis Suarez ataruhusiwa kufanya mazoezi na Liverpool wakati akitumikia adhabu yake ya miezi minne na mechi nane za kimataifa. Wakati huohuo Uruguay imekata rufaa kupinga adhabu hiyo. Suarez ali… Read More
  • Timu ya taifa ya Rugby ya Kenya yajihakikishia kufuzu.     Timu ya taifa ya Rugby ya Kenya imeichapa Madagascar 34-0 katika mchezo wa kufuzu kucheza Kombe la Dunia England 2015. Hata hivyo wanahitaji kushinda mchezo dhidi ya Zimbabwe siku ya Jumapili kujihakikis… Read More

0 comments:

Post a Comment