Baada ya aliyekuwa mkurugenzi wa Microsoft Steve Ballmer kusema
amefikia makubaliano na timu ya mpira wa kikapu ya Las Angeles Clippers
ya kuinunua timu hiyo kwa dola bilioni mbili, mmiliki wa sasa wa timu
hiyo Donald Sterling amepinga kwa nguvu zote timu hiyo kununuliwa kwa
bilioni 2.
Fahamu Donald alitoka kama kiongozi wa timu hio baada ya
kutoa matamshi ya kibaguzo kwa watu weusi ambao asilimia kubwa ndio
wachezaji na mashabiki wa mpira wa kikapu Marekani.
Matamshi ya Donald yalihofiwa kuhatarisha biashara na pesa nyingi zinazotokana na mchezo huo.
Mpaka sasa Sterling ametozwa faini ya dola milioni 2 na kupigwa marufuku kujihusisha na mchezo wa kikapu.
Ballmer amewapiku matajiri wengine waliotaka kununua timu hio
wakiwemo David Geffen na Oprah Winfrey. Ballmer alikuwa mkurugenzi wa
Microsoft na baada ya kumaliza muda wake amebaki na pesa nyingi na hisa
kwenye kampuni hio zenye thamani ya dola bilioni 13.
Endelea kutembelea katemimethsela.blogspot.com kupata habari mbalimbali kutoka kila pande za dunia.
Related Posts:
Mbunge Zitto Kabwe afiwa na mama mzazi
Bi Shida Salum, mama yake Zitto Kabwe Mbunge wa Jimbo la Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, mchana huu amefiwa na mama yake mzazi aliyeugua kwa muda mrefu.
… Read More
Picha:Show ya Kili tour jijini Mwanza,Ommy Dimpoz,VMoney,Fid Q,Ben Pol wafunika....
Kili
tour bado inaendelea na listi ndefu ya wasanii wamewafurahisha wakazi
wa Mwanza na show kali. Kama hukupata nafasi ya kujumuika jijini Mwanza,
hizi ni picha ya kilichofanyika kwenye steji.
… Read More
Venessa Mdee afunguka kulichopelekea kutokufanya Kipindi cha The One Show,Marehemu George Tyson atajwa
Venessa Mdee hajawai kusema sababu ya kuacha kufanya The One show ambayo
alianza hadi ku-shoot. Hivi sasa amesema sababu hiyo akimhusisha George
Tyson kama mtu aliyempa moyo kwenye maamuzi yake
Soma Hapa Chi… Read More
Mboni afunguka kuhusu George Tyson
Kazi kubwa ya George Tyson ilikuwa ni ku-direct vipindi vya TV vya Mboni Show na Vingine vingi
Endelea kutembelea katemmethsela.blogspot.com uweze kupata kila taarifa itakayohusiana na kifo cha directo… Read More
Picha:kama ulipitwa hapo jana.... Msafara wa kuleta mwili wa marehemu George Tyson Dar Es Salaam
Msanii wa Bongo Fleva AY akiwa amewasili na crew yake nzima mkoani
Morogoro kumpa pole Mboni Masimba, AY alitoa mchango wa shilingi laki
sita kununua jeneza la marehemu Tyson hii ikiwa kama mchango w… Read More
0 comments:
Post a Comment