
Fahamu Donald alitoka kama kiongozi wa timu hio baada ya kutoa matamshi ya kibaguzo kwa watu weusi ambao asilimia kubwa ndio wachezaji na mashabiki wa mpira wa kikapu Marekani.
Matamshi ya Donald yalihofiwa kuhatarisha biashara na pesa nyingi zinazotokana na mchezo huo.
Mpaka sasa Sterling ametozwa faini ya dola milioni 2 na kupigwa marufuku kujihusisha na mchezo wa kikapu.
Ballmer amewapiku matajiri wengine waliotaka kununua timu hio wakiwemo David Geffen na Oprah Winfrey. Ballmer alikuwa mkurugenzi wa Microsoft na baada ya kumaliza muda wake amebaki na pesa nyingi na hisa kwenye kampuni hio zenye thamani ya dola bilioni 13.
Endelea kutembelea katemimethsela.blogspot.com kupata habari mbalimbali kutoka kila pande za dunia.
0 comments:
Post a Comment