Friday, 9 May 2014
Aliyekuwa anawachanganya Wema na Kajala huyu hapa.....
Huko Instagram Kumenuka ni kuhusu ugomvi unaoendelea wa Kajala na Wema Sepetu, na kati hayo yote alitajwa Clement kuwa ndiye muhusika na aliweza kutembea na Marafiki wawili Kajala na Wema Sepetu, kutoka insta huyo ndiye Clement Kigogo wa ikulu aliyefaidi penzi la Wema Sepetu na La Kajala. Akaunti moja iliyopo instagram kwa jina Dougiemasta13 ambayo ni team wema imefungunga kuhusu kajala na huyu Clement na hivi ndivyo ilivyosema:
Related Posts:
Picha,Mtindo Mpya Wa Nywele Wa Mike Sonko Katika Kumpa Ushirikiano Rais Uhuru Kenyatta. Tunapozungumzia fashion ya mwanasiasa au kiongozi wa raia sehemu yeyote duniani mara nyingi tunatazama mavazi na muonekano wa heshima mbele za watu. Kwa Seneta wa Nairobi Mike Sonko hio ameweza kufanya na kuongeza swaga … Read More
Picha Za Diamond na Ommy Dimpoz London....... Diamond alikwenda Uingereza kwa ajili ya kufanya video ya wimbo wake na Iyanya ambayo imegharimu zaidi ya dola za kimarekani elfu 20 (zaidi ya milioni 30 za Tanzania) kutokana na ukubwa wa director wenyewe, … Read More
Wema, Diamond Wachafua Hali ya Hewa JAMBO limezua jambo. Pamoja na kuanza kwa kishindo safari yake ya kuelekea Afrika Kusini ‘Sauz’ kwa ajili ya fainali za kuwania Tuzo za MTV Africa (MAMA), mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na baby wake, Wema … Read More
Safari ya Uturuki yataka kumuua Mzee Mjuto MSANII wa maigizo na filamu nchini, Amri Athumani ‘Mzee Majuto’ ameeleza kuwa, kwa furaha aliyonayo baada ya kupata safari ya kwenda Uturuki imemfanya ajisikie kufa kwani ni bahati ambayo hakuitarajia.zee Majuto a… Read More
Yaliyojiri kwenye Birthday Dinner Party ya MBONI MASIMBA Yaliyojiri kwenye birthday dinner party ya MBONIE MASIMBA (@thembonishow) pale RHAPSODY’S VIVA TOWER Endelea kutembelea katemimethsela.blogspot.com uweze kupata habari mbalimbali zinazowa… Read More
0 comments:
Post a Comment