Wiz Khalifa alinunua hii nyumba eneo
la Canonsburg, Pennsylvania, yenye vyumba 5 vya kulala, mabafu 4,
nyumba ya pembeni ya wageni. Hii nyumba ipo karibu na eneo alilolelewa
na kusoma rapper Wiz Khalifa, Inasemekana ni kijana anayependa sana
kuishi karibu na nyumbani au mitaa aliyokulia, sio kwenye miji mikubwa
yenye fujo na kelele za mastaa wengine.
Sunday, 4 May 2014
Hii Ndio nyumba Anayoishi Wiz Khalifa Na Mke Wake Amber Rose........
Related Posts:
Harrison Ford aumia aki"shoot" filamu. Nyota wa filamu wa Marekani Harrison Ford ameumia wakati akiigiza filamu mpya ya Star Wars: Episode VII. Ford amepelekwa hospitali baada ya kuangukiwa na mlango katika studio za Buckinghamshire, Uingereza. Haifahami… Read More
Mbasha:Gwajima niachie mke wangu Flora MUME wa mwimba Injili Bongo, Flora Mbasha anayedaiwa kumbaka binti wa miaka 17 (jina lipo), Emmanuel Mbasha ameibuka mzimamzima na kumtaka Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Uzima na Ufufuo la jijini Dar, Josephat… Read More
Riyama Ali:"Nikifa Sitaki Kusifiwa" RIYAMA Ali mwigizaji wa kike asiye na kashifa katika tasnia ya filamu Bongo, amefunguka kwa kusema kuwa kama kuna msanii mwenzake au mtu mwenye mapenzi naye angependa kama ana sifa kuhusu yeye katika umahiri wa kuigiza… Read More
Rapper Lil Kim ajifungua mtoto wa kike Rapper Lil Kim aliyezaliwa miaka 39 iliyopita, siku ya jana June 9 saa 3 na dakika 58 alijifungua asubuhi katika hospitali ya Hackensack University Medical Center iliyoko New Jersey, Marekani, kwa mujibu wa Huffingt… Read More
Picha za Gari jipya la Ney wa Mitego. Mastaa mbalimbali wa Tanzania wamekua wakionyesha magari yao ambayo mengi yamekua ya kifahari,kwa mwaka 2014 ni mwaka unaonyesha wasanii wengi kumiliki magari ya gharama zaidi,mpaka sasa ni zaidi ya wasanii watano … Read More
0 comments:
Post a Comment