Wiz Khalifa alinunua hii nyumba eneo
la Canonsburg, Pennsylvania, yenye vyumba 5 vya kulala, mabafu 4,
nyumba ya pembeni ya wageni. Hii nyumba ipo karibu na eneo alilolelewa
na kusoma rapper Wiz Khalifa, Inasemekana ni kijana anayependa sana
kuishi karibu na nyumbani au mitaa aliyokulia, sio kwenye miji mikubwa
yenye fujo na kelele za mastaa wengine.
Sunday, 4 May 2014
Hii Ndio nyumba Anayoishi Wiz Khalifa Na Mke Wake Amber Rose........
Related Posts:
Instagram yafuta picha za Uchi Kevin Systrom afisaa mkuu mtendaji wa Instagram Mmoja wa waasisi wa mtandao wa kijamii wa Instagram, amesema kuwa sheria zake kuhusu picha za uchi hazimb… Read More
Hawa ndio Wanamuziki wanaolipwa pesa nyingi zaidi dunianiMatokeo haya ni kwa mujibu wa Mtandao wa Forbes, hawa ndio Wanamuziki 20 waliolipwa malipo ya juu zaidi mnamo mwaka 2013. No. 1: Madonna ($125 million) No. 2: Lady Gaga ($80 million) No. 3: Bon Jovi ($79 m… Read More
Angalia picha 24 za Vazi la Rihanna linaloonesha mwili wake Tuko katika maboresho hivi karibuni blog hii itakuwa ni site ambayo itaitwa www.bantutz.com ni katika hatua za kuboresha huduma zetu za kutoa h… Read More
Nicki Minaj atokea akiwa na kinguo kinachoonyesha maziwa yake, Rihanna akasirika. Siku ya jumapili kwenye Summer Jam Hip Hop na R&B, Nicki Minaj alionekana akiwa amevaa ki top cha silver chenye kuonyesha maziwa yake kikiwa kimezibwa na alama ya nyota kwenye nipples zake. Hajawa… Read More
Kundi la G-Unit laungana upya kama zamani. Kundi maarufu kwenye muziki wa Hiphop linalojumuisha wasanii kama 50 Cent,Llyoid Banks,Young Buck na Tony Yeyo waliwahi kutamba sana kwenye muziki wakiwa kama kundi na solo artist. Baada ya muda waligawanyika baada ya ms… Read More
0 comments:
Post a Comment