Joseph Haule aka Profesa J na Jose Chameleone ni marafiki wa siku
nyingi. Chameleone aliwahi kutumia beat ya wimbo wake ‘Nikusaidieje’
kurekodi wimbo aliomshrikisha mdogo wake Weasel, Bomboclat. Na sasa Jose
hao wawili wamekutana kufanya wimbo wa pamoja
Kupitia Instagra, Profesa Jay ameandika: Ndani ya Mwanalizombe Studio
usiku sana,Professor Jay Josechameleon @lamarfishcrab @producer
villy,Shidaa mpya inakuja!!! STAY TUNED, Dar East African HEAVY WEIGHTS,
Stay Tuned,mpaka waombe poooh !!!!”
Chameleone alikuwa nchini kuhudhuria tuzo za Kili ambapo alishinda tuzo ya wimbo bora wa Afrika Mashariki.
0 comments:
Post a Comment