Facebook

Monday, 12 May 2014

Tahadhari Juu ya Ugonjwa wa Dengue




Iwapo itatokea una kila dalili za homa ya dengue, dawa ya kukimbilia kwanza ni Panadol; inashauriwa usimeze KABISA Diclopar wala Diclofenac. Iwapo utameza dawa hizi, utakuwa kwenye uwezekano mkubwa wa kupoteza maisha. Imetolewa na Wizara ya Afya!.

Endelea kutembelea katemimethsela.blogspot.com kujua kila kitakachokuwa kinajiri kuhusiana na Ugonjwa wa Dengue

Related Posts:

  • Mtanzania ateuliwa kuwa makamu mkuu wa Rais wa BET Networks.  BET Networks, ambayo ipo chini ya kampuni ya Viacom Inc. imetangaza kumwajiri Kay Madati kama makamu mkuu wa rais (Executive Vice President) na pia kama Chief Digital Officer. Madati, raia wa Tanzania aliyeishi katik… Read More
  • Wanafunzi 12,000 wakosa nafasi Vyuo vikuu,TCU yawapa nafasi ya Pili.Wanafunzi 12, 000 wakosa nafasi za vyuo vikuu, TCU yawapa nafasi ya pili kuchagua nafasi za masomo (course) ambazo bado ziko wazi na wameshauriwa kutochagua "course" zenye ushindani mwingi maana hii itasababisha wengine kukos… Read More
  • Nyangumi apatikana Mtwara.Mzoga wa samaki aina ya nyangumi Umepatikana katika pwani ya Bahari ya Hindi Mkoani Mtwara na kisha kuvutwa Kuelekea majini na wavuvi wa Kata ya Msangamkuu. Mzoga huo una urefu wa futi 48 na uzito unaokadiriwa kuwa zaidi ya t… Read More
  • Apple wazindua bidhaa mpya.Kampuni ya Apple imezindua saa ya kisasa - the Apple Watch - ambayo ni bidhaa yake mpya tangu iPad ya kwanza na tangu kifo cha mmoja wa waasisi wake Steve Jobs. Kifaa hicho huendesha programu tumishi (apps) na pia hufuatilia … Read More
  • MIFUPA YA DINOSARIA "GODZILLA" YAPATIKANA TANZANIAAina mpya ya dinosaria imetambuliwa kufuatia kupatikana kwa mifupa nchini Tanzania. Mabaki hayo ya dinosaria yaliyopewa jina la - Rukwatitan Bisepultus - yalipatikana katika korongo moja kwenye eneo la Rukwa, kusini magharibi… Read More

0 comments:

Post a Comment