Facebook

Monday 12 May 2014

Tahadhari Juu ya Ugonjwa wa Dengue




Iwapo itatokea una kila dalili za homa ya dengue, dawa ya kukimbilia kwanza ni Panadol; inashauriwa usimeze KABISA Diclopar wala Diclofenac. Iwapo utameza dawa hizi, utakuwa kwenye uwezekano mkubwa wa kupoteza maisha. Imetolewa na Wizara ya Afya!.

Endelea kutembelea katemimethsela.blogspot.com kujua kila kitakachokuwa kinajiri kuhusiana na Ugonjwa wa Dengue

0 comments:

Post a Comment