Facebook

Monday, 12 May 2014

Video: Ni Unyama,Boko Haram wampiga mawe hadi kumuua msichana mmoja waliomteka Nigeria....angalia hapa....


Huu ni unyama ambao haupaswi kuvumiliwa uliofanywa na kikundi cha wanamgambo cha Boko Haram waliowateka Wasichana katika shule moja huko Nigeria.
Na inasemekana wamefanya unyama mbalimbali ikiwa ni pamoja na kuwaua, kuwabaka na kuwafanyia vitendo vya kikatili wananchi mbalimbali wa Nigeria.
Ikiwa haitoshi hapo jana walituma video kaika mtandao wao ambayo chombo chetu kutokana na umakini tulikuwanao tulifanikiwa kuipata..ni katemimethsela.blogspot.com pekee ambapo unaweza kuangalia video hiyo hapo juu ...

Inayoonyesha ukatili uliofanywa na Boko Haram baada ya kumfukia msichana kwenye shimo kisha wakaacha kichwa kikiwa juu na kiwiliwili kufukiwa ardhini na wakaanza kumpiga mawe hadi kuaga dunia....

Kwa taarifa zilizotufikia punde ni kwamba Jeshi la Marekani limetuma askari wake waende kuwasaka wasichana hao waliotekwa na Boko Harama na waweze kukisambaratisha kikundi hicho kinachofanya unyama wa kutisha huko Nigeria na kusababisha majonzi makubwa kwa wazazi wa mabinti hao,Nigeria na Dunia kwa ujumla.....

              MUNGU IBARIKI NIGERIA....MUNGU IBARIKI AFRIKA

                   Photo: #RejesheniMabintiWetu

                                  #BRING BACK OUR GIRLS# 

Endelea kutembelea katemimethsela.blogspot.com uweze kujua kila kitakachokuwa kinajiri huko Nigeria baada ya kutumwa askari wa Marekani kwenda kuwakomboa wasichana waliotekwa na Boko Haram

Related Posts:

  • Je,wajua kuna waombolezaji wa kulipwa ?   Kila Alhamisi na Ijumaa, shughuli katika mji wa Kisumu, magharibi mwa Kenya, huvurugika kwa sababu mamia ya waendesha pikipiki huzuia barabara kutokana na kukodiwa kuomboleza msiba kwa malipo. Kelele za saut… Read More
  • Meya anayetuhumiwa kuua akamatwa Mexico   Polisi nchini Mexico wamemkamata meya wa mji wa Iguala, pamoja na mke wake ambako wanafunzi 43 walipotea mwezi Septemba.   Jose Luis Abarca ambaye amekuwa akitafutwa amekamatwa na maafisa wa polisi katika mji … Read More
  • Wakazi waahidiwa dola mia kwa kukamata mbu Taiwan.   Wakazi katika mji mmoja nchini Taiwan wameahidiwa zawadi nono kwa kukamata mbu. Shindano hilo lilitangazwa na idara ya afya ya jiji la Kaohsiung, linalenga kupambana na mlipuko wa mbu wanaosababisha homa ya d… Read More
  • Obama aahidi kushirikiana na Republican   Kiongozi mpya wa Baraza la Senate la Marekani kutoka chama cha Republican na Rais Barack Obama wote wameahidi kumaliza mvutano wa kisiasa ambao umewavunja moyo wapiga kura wa Marekani. Wanachama wa Republican wa… Read More
  • Wanajeshi wa Libya wafukuzwa Uingereza.   Wanajeshi kutoka nchini Libya wamerejeshwa nchini kwao kutokana na kukosa uadilifu wakiwa mafunzoni Uingereza huku wengine wakituhumiwa kufanya vitendo vya ukatili wa kimapenzi. Wanajeshi hao waliokuwa mafunzoni n… Read More

0 comments:

Post a Comment