Facebook

Tuesday 13 May 2014

Wema ashambuliwa kwa matusi kwenye mtandao wa jamii....



Ni baada ya kupost picha akiwa na rafiki zake aunt Ezekiel na Rommy Jons club huku Rommy Jons akiwa amevaa vazi la kanzu ambalo wengi waliotoa maoni yao kua hilo vazi (kanzu) si mahali pake hapo na analinajisi ;

JE WEWE UNASEMAJE ? TIZAMA PICHA NA MAONI YA WATU ;

0 comments:

Post a Comment