Facebook

Monday, 2 June 2014

Chris Brown atoka jela.


Salim Kikeke's photo. 
 Mwimbaji nyota wa Marekani Chris Brown ameachiliwa kutoka gereza moja la Los Angeles.
Naibu Liwali wa LA, Tony Moore amesema mwimbaji huyo wa miondoko ya R&B ameachiliwa siku ya Jumatatu asubuhi.

Salim Kikeke's photo. 
 
Brown amekuwa gerezani tangu Machi 14, baada ya kuvunja sheria ya mahakama kuhusiana na kesi ya kumpiga mpenzi wake wa zamani, Rihanna mwaka 2009.

Tuko katika maboresho hivi karibuni blog hii itakuwa ni site ambayo itaitwa www.bantutz.com ni katika hatua za kuboresha huduma zetu za kutoa habari,tutakuja katika muonekano mpya na bora zaidi

Related Posts:

  • Mazishi ya baba wa Peter na Paul -P square yanafanyika leo   Wasanii waakubwa ambao ni mapachaPeter na Paul maarufu kama P-square kutoka Nigeria  wanataraji kumzika baba yao mzazi  Pa Mosses Okoye leo aliefariki november mwaka jana.   Mazishi hayo a… Read More
  • Huu ndio muonekano mpya wa Rihanna Mwana dada mwenye skendo za kila kukicha ame-post picha ikimuonyesha munekano wake wa nywele na hata sura.   Muonekano huo unatumika katika jarida moja linalohusu muziki na maisha ya watu maarufu kwa ujumla.Ri… Read More
  • Huu ndio muonekano mpya wa Rihanna Mwana dada mwenye skendo za kila kukicha ame-post picha ikimuonyesha munekano wake wa nywele na hata sura.   Muonekano huo unatumika katika jarida moja linalohusu muziki na maisha ya watu maarufu kwa ujumla.Ri… Read More
  • Huu ndio muonekano mpya wa Rihanna Mwana dada mwenye skendo za kila kukicha ame-post picha ikimuonyesha munekano wake wa nywele na hata sura.   Muonekano huo unatumika katika jarida moja linalohusu muziki na maisha ya watu maarufu kwa ujumla.Ri… Read More
  • Baba ajiua kutokana na picha za mwanawe Baba mmoja amejiua baada ya kuona picha za uchi zamwanawe wa kike katika jarida la Playboy nchini Romania. Loredana Chivu alirarua ukurasa uliokuwa na picha yake akiwa 'amepos' katika jarida hilo la Playboy na punde babak… Read More

0 comments:

Post a Comment