Facebook

Monday, 9 June 2014

Dondoo muhimu kuhusiana na Kombe la dunia ncini Brazil


 
 Photo: ZIMESALIA SIKU NNE KABLA YA KOMBE LA DUNIA
Je wafahamu kuwa....
Bingwa wa Kombe la Dunia 2014 atashinda dola milioni 35.
Kiasi hicho ni kikubwa zaidi kuliko kiasi walichoshinda Spain, mabingwa wa Kombe la Dunia miaka minne iliyopita. Spain walipata dola milioni 31. Katibu Mkuu wa FIFA Jerome Valcke amesema mshindi wa pili atapewa dola milioni 25.
Mshindi wa tatu atapatiwa dola milioni 22, na wa nne milioni 20.
Kila nchi itakayoingia katika raundi ya mtoano imehakikishiwa kupewa dola zisozopungua milioni 8.
Kiasi cha fedha zilizopo kwa nchi na vilabu vilivyotoa wachezaji ni dola milioni 576. Mwaka 2010 fedha hizo zilikuwa dola milioni 420.
Nchi na vilabu zitapatiwa jumla ya dola milioni 100 kwa kuwezesha wachezaji kupatikana na kuweza kushiriki.
 
Je wafahamu kuwa....
Bingwa wa Kombe la Dunia 2014 atashinda dola milioni 35.
Kiasi hicho ni kikubwa zaidi kuliko kiasi walichoshinda Spain, mabingwa wa Kombe la Dunia miaka minne iliyopita. Spain walipata dola milioni 31. Katibu Mkuu wa FIFA Jerome Valcke amesema mshindi wa pili atapewa dola milioni 25.
Mshindi wa tatu atapatiwa dola milioni 22, na wa nne milioni 20.
Kila nchi itakayoingia katika raundi ya mtoano imehakikishiwa kupewa dola zisozopungua milioni 8.
Kiasi cha fedha zilizopo kwa nchi na vilabu vilivyotoa wachezaji ni dola milioni 576. Mwaka 2010 fedha hizo zilikuwa dola milioni 420.
Nchi na vilabu zitapatiwa jumla ya dola milioni 100 kwa kuwezesha wachezaji kupatikana na kuweza kushiriki.
 
 
Tuko katika maboresho hivi karibuni blog hii itakuwa ni site ambayo itaitwa www.bantutz.com ni katika hatua za kuboresha huduma zetu za kutoa habari na burudani.Tutakuja katika muonekano mpya na bora zaidi.Vitu vizuri vipya usivyotarajia utaviona na kufurahia kupitia www.bantutz.com....

Related Posts:

  • Mourinho amuonya Roy Hodgson kuhusu Rooney Kocha Jose Mourinho amekosoa nafasi aliyopangwa Wayne Rooney kwenye mechi ya England na Italia huko Manaus, Brazil. Italia walishinda 2-1. Jose Mourinho ameyavulia nguo maji yasiyo yake kwa kutoa tathmini ya m… Read More
  • Eto’o hatihati kuwakosa Croatia. Nahodha wa Cameroon Samuel Eto’o huenda akakosa mechi ya Kombe la Dunia dhidi ya Croatia siku ya Jumatano kutokana na majeraha. Eto’o hajafanya mazoezi kwa siku mbili na huenda asipone kwa wakati kwa ajili… Read More
  • Ujerumani yaifumua Ureno bila huruma, Thomas Mueller ndiye mchezaji wa kwanza kufunga mabao matatu katika mechi moja Brazil Thomas Muller alifunga mabao matatu na kuisaidia Ujerumani kuishinda Ureno mabao manne kwa nunge. Mlinzi wa U… Read More
  • Marekani yaifumua Ghana 2-1 Marekani yalipiza kisasi cha kushindwa na Ghana 2-1katika kombe la dunia Bao la kichwa la John Brooks, katika dakika za mwisho za mechi ziliisaidia Marekani kuilaza Ghana kwa mabao mawili kwa moja, katika mchuan… Read More
  • Nigeria na Iran zatoka sare. Timu ya Iran na Nigeria zilitoka sare ya suluhu bin suluhu , katika mechi yao ya kundi F huko Curitiba, kwenye fainali ya kombe la dunia siku ya Jumatatu. Timu hiyo ya Carlos Queiroz ilioneka… Read More

0 comments:

Post a Comment