Tumehamia
katika site hii mpya na bado tuko katika maboresho,hii ni katika hatua za awali
kabisa kuiboresha site yetu na utoaji wa habari na burudani.Vitu vingi
vitaonekana katika site hii mpya hivi karibuni.Endelea kutembelea www.bantutz.com
Sunday, 15 June 2014
Joshua Nassari akiwa katika fungate Tembo camp na Serena hotel Zanzibar.
Related Posts:
Irene Uwoya adhibitisha kuwa na mahusiano ya kimapenzi na Msami !!!!! Jana May 28 kupitia You heard ya XXL Clouds FM ilikua ni stori kuhusu uhusiano wa Msami wa THT na mwigizaji toka Bongo Movie Irene Uwoya na jana alisikika Msami ambaye alikanusha uhusiano lakini mpenzi wake Rehem… Read More
Kuna tetesi kuwa Beyonce ana uhusiano wa kimapenzi na bodyguard wake Julius De Boer Wanandoa mastaa, Beyonce Knowles na Jay Z wamekuwa wakihudhuria sherehe mbalimbali licha ya kuwepo uvumi kuwa ndoa yao ipo matatani lakini tetesi hii inaweza kuwa kubwa zaidi kuwahi kusemwa. Kuna tetesi kuw… Read More
Apple kuinunua Beats kwa dola bilioni 3 Kampuni kubwa ya teknolojia Apple imethibitisha kwamba itanunua vipokea sauti na huduma ya kusikiliza muziki kupitia kwenye mtandao wa inteneti kutoka kampuni ya Beats Electronics katika makubaliano ya dola bilio… Read More
Balloteli aidharau Uingereza kombe la dunia Brazil.. Balloteli amesema timu ya taifa ya England haina uwezo wa kuchukua kombe la dunia, alisema: "Siangalii England kama timu inayoweza kuchukua kombe la dunia. Wana wachezaji wazuri, lakini sion… Read More
Walichokiandika Vanessa Mdee,Ay,JokateM,HemedyPHD kuhusiana na kifo cha George Tyson Jana usiku habari zilizoshtua watu wengi ni kuhusu kifo cha director mashuhuri George Tyson. Hivi sasa kuna taarifa ambazo hazijawahi kutolewa na hawa wahusika kuhusu marehemu Tyson. Zipo tano hadi sasa na zinatoka kwa wat… Read More
0 comments:
Post a Comment