Dk. Kitila Mkumbo amejitambulisha rasmi kuwa ni mwanachama wa ACT
kupitia Clouds fm leo asubuhi amesema atamshauri Zitto aje kugombea
uwenyekiti.
Imefahamika kuwa Dr. Kilila Mkumbo kathibitisha habari
hii. Amekiri kuongena na Clouds FM na kwamba yeye ni Mwanachama wa
Alliance for Change and Transparency (ACT).
0 comments:
Post a Comment