Facebook

Friday, 2 May 2014

Matajiri wanaotaka kuinunua LA Clippers na watu mashuhuri walioguswa na sakata hilo la ubaguzi....




Nyota wa vipindi vya televishenivya Oprah Winfred Show na runinga la Oprah Network, bilionea Oprah Winfred ni miongoni mwa watu waliotangaza nia ya kutaka kuinunua timu ya Los Angeles Clippers.
Nyota wa vipindi vya televisheni vya Oprah Winfred Show na runinga la Oprah Network, Bilionea Oprah Winfred ni miongoni mwa watu weusi waliotangaza nia ya kutaka kuinunua timu ya Los Angeles Clippers.
Mwanamuziki maarufu wa Rap P. Diddy, naye pia ana mpango wa kuinunua timu ya LA Clippers endapo itauzwa.
Mwanamuziki maarufu wa Rap P. Diddy, naye pia ana mpango wa kuinunua timu ya LA Clippers endapo itauzwa.
Nyota wa zamani wa mchezo wa kikapu Magic Johnson. Ni miongoni mwa watu matajiri weusi waliotangaza nia ya kuinunua timu ya LA Clippers.
Nyota wa zamani wa mchezo wa kikapu Magic Johnson. Ni miongoni mwa watu matajiri weusi waliotangaza nia ya kuinunua timu ya LA Clippers.
Nyota wa masumbwi Floyd Mayweather ametangaza nia ya kuinunua klabu hiyo baada ya kutangazwa na NBA kuwa lazima iuzwe.
Nyota wa masumbwi Floyd Mayweather ametangaza nia ya kuinunua klabu hiyo baada ya kutangazwa na NBA kuwa lazima iuzwe.
Kiongozi wa haki za watu weusi nchini Marekani Mchungaji Jesse Jackson akiongea jambo na Chris Paul na Jamal Crwaford ambao ni wachezaji wa LA Clippers.
Kiongozi wa haki za watu weusi nchini Marekani Mchungaji Jesse Jackson akiongea jambo na Chris Paul na Jamal Crwaford ambao ni wachezaji wa LA Clippers.
 Nyota wa zamani wa  mpira wa kikapu Kareem Abdul Jabar akikumbatiana na Meya wa jiji la California Kevin Johnson wakati wa mkutano na waandishi wa habari.

Nyota wa zamani wa mpira wa kikapu Kareem Abdul-Jabar akikumbatiana na Meya wa jiji la California Kevin Johnson wakati wa mkutano na waandishi wa habari kuhusiana na sakata hilo.
Rais wa Marekani Barack Obama, akizungumzia sakata hilo wakati akiwa Ufilipino kwenye ziara yake ya bara Asia, ambapo aliliita ni matusi na ni upuuzi.
Rais wa Marekani Barack Obama, akizungumzia sakata hilo wakati akiwa Ufilipino kwenye ziara yake ya bara Asia, ambapo aliita ni matusi na ni upuuzi.
Muongozaji maarufu wa filamu Spike Lee (mwenye kofia) akiwa kwenye mkutano wa waandishi wa habari wakati Kamishna wa NBA alipokuwa akitangaza adhabu dhidi ya mmiliki wa LA Clippers Donald Sterling.
Muongozaji maarufu wa filamu Spike Lee (mwenye kofia) akiwa kwenye mkutano wa waandishi wa habari wakati Kamishna wa NBA Adam Silver alipokuwa akitangaza adhabu dhidi ya mmiliki wa LA Clippers Donald Sterling.
Tajiri na mmiliki wa timu ya Los Angeles Clippers Donald Sterling, ambaye amefungiwa maisha kushiriki kitu chochote kinahosiana na mpira wa kikapu kufuatia kutoa kauli chafu na kibaguzi na kuibua mjadala mkubwa nchini Marekani.
Tajiri na mmiliki wa timu ya Los Angeles Clippers Donald Sterling, ambaye amefungiwa maisha kushiriki kitu chochote kinachosiana na mpira wa kikapu kufuatia kutoa kauli chafu na za kibaguzi na kuibua mjadala mkubwa nchini Marekani.
Kocha wa Los Angeles Clippers Doc Rivers akiongea na waandishi wa habari.
Kocha wa Los Angeles Clippers Doc Rivers akiongea na waandishi wa habari.
Baadhi ya wachezaji wa Los Angeles wakiwa wamegeuza fulana zao kuficha nembo ya timu kama ishara ya kupinga kauli za kibaguzi zilizotolewa na mmiliki wao Donald Sterling.
Baadhi ya wachezaji wa Los Angeles wakiwa wamegeuza fulana zao kuficha nembo ya timu kama ishara ya kupinga kauli za kibaguzi zilizotolewa na mmiliki wa timu Donald Sterling.
Baadhi ya mashabiki wa Los Angeles Clippers wakiwa wamebeba mabango yenye ujumbe unaounga mkono kuuzwa kwa timu hiyo.Baadhi ya mashabiki wa Los Angeles Clippers wakiwa wamebeba mabango yenye ujumbe unaounga mkono kuuzwa kwa timu hiyo. Picha na mtandao


Nyota wa vipindi vya televishenivya Oprah Winfred Show na runinga la Oprah Network, bilionea Oprah Winfred ni miongoni mwa watu waliotangaza nia ya kutaka kuinunua timu ya Los Angeles Clippers.
Nyota wa vipindi vya televisheni vya Oprah Winfred Show na runinga la Oprah Network, Bilionea Oprah Winfred ni miongoni mwa watu weusi waliotangaza nia ya kutaka kuinunua timu ya Los Angeles Clippers.
Mwanamuziki maarufu wa Rap P. Diddy, naye pia ana mpango wa kuinunua timu ya LA Clippers endapo itauzwa.
Mwanamuziki maarufu wa Rap P. Diddy, naye pia ana mpango wa kuinunua timu ya LA Clippers endapo itauzwa.
Nyota wa zamani wa mchezo wa kikapu Magic Johnson. Ni miongoni mwa watu matajiri weusi waliotangaza nia ya kuinunua timu ya LA Clippers.
Nyota wa zamani wa mchezo wa kikapu Magic Johnson. Ni miongoni mwa watu matajiri weusi waliotangaza nia ya kuinunua timu ya LA Clippers.
Nyota wa masumbwi Floyd Mayweather ametangaza nia ya kuinunua klabu hiyo baada ya kutangazwa na NBA kuwa lazima iuzwe.
Nyota wa masumbwi Floyd Mayweather ametangaza nia ya kuinunua klabu hiyo baada ya kutangazwa na NBA kuwa lazima iuzwe.
Kiongozi wa haki za watu weusi nchini Marekani Mchungaji Jesse Jackson akiongea jambo na Chris Paul na Jamal Crwaford ambao ni wachezaji wa LA Clippers.
Kiongozi wa haki za watu weusi nchini Marekani Mchungaji Jesse Jackson akiongea jambo na Chris Paul na Jamal Crwaford ambao ni wachezaji wa LA Clippers.
Nyota wa zamani wa  mpira wa kikapu Kareem Abdul Jabar akikumbatiana na Meya wa jiji la California Kevin Johnson wakati wa mkutano na waandishi wa habari.
Nyota wa zamani wa mpira wa kikapu Kareem Abdul-Jabar akikumbatiana na Meya wa jiji la California Kevin Johnson wakati wa mkutano na waandishi wa habari kuhusiana na sakata hilo.
Rais wa Marekani Barack Obama, akizungumzia sakata hilo wakati akiwa Ufilipino kwenye ziara yake ya bara Asia, ambapo aliliita ni matusi na ni upuuzi.
Rais wa Marekani Barack Obama, akizungumzia sakata hilo wakati akiwa Ufilipino kwenye ziara yake ya bara Asia, ambapo aliita ni matusi na ni upuuzi.
Muongozaji maarufu wa filamu Spike Lee (mwenye kofia) akiwa kwenye mkutano wa waandishi wa habari wakati Kamishna wa NBA alipokuwa akitangaza adhabu dhidi ya mmiliki wa LA Clippers Donald Sterling.
Muongozaji maarufu wa filamu Spike Lee (mwenye kofia) akiwa kwenye mkutano wa waandishi wa habari wakati Kamishna wa NBA Adam Silver alipokuwa akitangaza adhabu dhidi ya mmiliki wa LA Clippers Donald Sterling.
Tajiri na mmiliki wa timu ya Los Angeles Clippers Donald Sterling, ambaye amefungiwa maisha kushiriki kitu chochote kinahosiana na mpira wa kikapu kufuatia kutoa kauli chafu na kibaguzi na kuibua mjadala mkubwa nchini Marekani.
Tajiri na mmiliki wa timu ya Los Angeles Clippers Donald Sterling, ambaye amefungiwa maisha kushiriki kitu chochote kinachosiana na mpira wa kikapu kufuatia kutoa kauli chafu na za kibaguzi na kuibua mjadala mkubwa nchini Marekani.
Kocha wa Los Angeles Clippers Doc Rivers akiongea na waandishi wa habari.
Kocha wa Los Angeles Clippers Doc Rivers akiongea na waandishi wa habari.
Baadhi ya wachezaji wa Los Angeles wakiwa wamegeuza fulana zao kuficha nembo ya timu kama ishara ya kupinga kauli za kibaguzi zilizotolewa na mmiliki wao Donald Sterling.
Baadhi ya wachezaji wa Los Angeles wakiwa wamegeuza fulana zao kuficha nembo ya timu kama ishara ya kupinga kauli za kibaguzi zilizotolewa na mmiliki wa timu Donald Sterling.
Baadhi ya mashabiki wa Los Angeles Clippers wakiwa wamebeba mabango yenye ujumbe unaounga mkono kuuzwa kwa timu hiyo.Baadhi ya mashabiki wa Los Angeles Clippers wakiwa wamebeba mabango yenye ujumbe unaounga mkono kuuzwa kwa timu hiyo. 

Endelea kutembelea katemimethsela.blogspot.com uweze kujua kwa kina mwisho wa sakata hili la Ubaguzi ndani ya klabu ya kikapu ya LA Clippers

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment