
Watu wengine walikuwa ndani kama kawaida wakatimoto huo unatokea chumba namba 30 flow ya chini kabisa ambayo wanalala wanafunzi wa kike wanaosoma Chuo hicho
Chanzo cha Moto huu inasemekana ilikuwa ni simu ilikuwa ikichajiwa
Simu iliripuka Na kuzua moto huo mkali
Bahati nzuri ndani kulikuwa na mwanafunzi mmoja aliyekimbia nje kutafuta msaada ndipo watu wakajaa ila moto ulikuwa mkubwa sana.
Vitu vyote vimeungua zikiwemo laptops,simu za mkononi na vitu vingi vya thamani.
Baada ya tukio hile Hostel zimefungwakwa muda ili kuruhusu uchunguzi na ukarabatii wa Hostel hizo.
Baada ya tukio hile Hostel zimefungwakwa muda ili kuruhusu uchunguzi na ukarabatii wa Hostel hizo.
Tuko katika maboresho hivi karibuni
blog hii itakuwa ni site ambayo itaitwa www.bantutz.com ni katika hatua za
kuboresha huduma zetu za kutoa habari na burudani.Tutakuja katika muonekano
mpya na bora zaidi.Vitu vizuri vipya usivyotarajia utaviona na kufurahia
kupitia www.bantutz.com....
0 comments:
Post a Comment