
Wanachama wa kundi la Muslim Brotherhood wakiwa kizuizini.
Mahakama moja nchini Misri
imewahukumu vifo viongozi kumi wa kundi lililopigwa marufuku la Muslim
Brotherhood kwa kuchochea ghasia zilizosababisha vifo vya watu wawili
mwezi July.
Washtakiwa wengine 38 akiwemo kiongozi wa kundi hilo Mohammed Badie watapewa hukumu yao ifikiapo mwezi ujao.Raia hao walipatikana na hatia ya kuchochea uma na kuzuia msafara wa magari katika mji wa Qalyub kazkazini mwa mji wa Cairo.
Wamekuwa wakishiriki katika maandamano dhidi ya jeshi ambalo lilimpindua aliyekuwa rais wa taifa hilo Mohammed Morsi.
Bwana Badie tayari amehukumiwa kunyongwa katika kesi nyengine.
Tuko katika maboresho hivi karibuni
blog hii itakuwa ni site ambayo itaitwa www.bantutz.com ni katika hatua za
kuboresha huduma zetu za kutoa habari na burudani.Tutakuja katika muonekano
mpya na bora zaidi.Vitu vizuri vipya usivyotarajia utaviona na kufurahia
kupitia www.bantutz.com....
0 comments:
Post a Comment