Facebook

Sunday, 25 May 2014

Mahakama yamkosoa rais Banda,Malawi.

 


Mahakama kuu nchini Malawi imetoa hukumu dhidi ya jaribio la rais Joyce Banda kupiga marufuku matokeo ya shughuli ya uchaguzi wa urais na ubunge.
Mahakama imeiagiza tume ya uchaguzi nchini humo kuendelea na shughuli ya kuhesabu kura.
Mahakama italiangazia upya tangazo la rais Banda kwamba uchaguzi huo haufai kwa kuwa ulikumbwa na udanganyifu mkubwa.
Bi. Banda yuko katika nafasi ya pili kulinga na matokeo yaliotangazwa na kwamba ndugu ya aliyekuwa rais wa taifa hilo Peter Mutharika ndio anayeongoza.

Related Posts:

  • Benki Kuu Nigeria yakumbwa na kashfa ya Ufisadi.Wakuu katika shrika la kupambana na rushwa nchini Nigeria wanasema maafisa kadhaa kutoka benki kuu ya nchi hiyo wamepelekwa mahakamani kwa tuhuma za ufisadi wa kiasi kikubwa cha fedha za thamani ya mamilioni ya dola. Pia baad… Read More
  • Watu zaidi ya 400 wazama na Meli China Meli ikiwa imebeba zaidi ya watu 450 imezama baada ya kukumbwa na upepo mkali katika Mto Yangtze kusini mwaChina. Kwa mujibu wa shirika la habari la serikali Xinhua watu wanane wameokolewa mpaka sasa na kazi inaendelea y… Read More
  • Waandamana wakiwa Uchi Uganda.Wanawake katika kijiji kimoja cha kazkazini mwa Uganda wamefanya maandamano wakiwa uchi kutokana na mgogoro wa ardhi kati ya utawala wa eneo hilo na jamii ambao umeendelea kwa takriban miaka 10. Wakati wa maandamano hayo ,maw… Read More
  • BantuTz MAGAZETINI:Soma kilichoandikwa katika magazeti yote ya leo Jumanne,Juni 2. MAGAZETINI-Ni uratatibu ambao BantuTz imeuanzisha ili kuwawezesha wadau wote wa Bantu waweze kusomana kupitia kurasa za magazeti mbalimbali nchini kila siku asubuhi ili kuwasogezea karibu zaidi huduma kupata habari nuhimu… Read More
  • Lori la mafuta laua watu 70 Nigeria.Karibu watu 70 wamefariki huko mashariki mwa Nigeria baada ya lori la kubeba mafuta kushika moto. Police wanasema huenda kilichosababisha moto huo ni ajali. Walioshuhudia wanasema dereva wa gari hilo alishindwa kulidhibiti nd… Read More

0 comments:

Post a Comment