Zlatan Ibrahimovic jana usiku alifunga magoli
mawili dhidi ya Estonia na kufikisha jumla ya
magoli 50 na kuwa mchezaji mwenye magoli
mengi zaidi katika timu ya taifa ya Sweden
Friday, 5 September 2014
Zlatan Ibrahimovic aweka rekodi ya kipekee Sweden.
Related Posts:
Algeria yailaza Korea Kusini 4-2 Algeria ambayo ilikuwa imeshindwa 2-1 na Ubeljiji katika mechi yao ya ufunguzi katika kundi H iliingia katika mechi hii ikifahamu fika endapo itashindwa basi haitakuwa na budi kuweka tayari mipango ya kurejea nyum… Read More
Origi aisaidia Ubeligiji kusonga mbele Kinda aliyezaliwa Kenya na kuchukua uraiya wa Ubeligiji Divock Origi alifungia Ubeligiji bao la pekee na la ushindi dhidi ya Urusi katika mechi yao ya pili ya kundi H. Bao hilo la dakika za mejeruhi za mechi… Read More
Ghana yakana kupanga mechi Brazil Rais wa shirikisho la soka nchini Ghana , amekanusha madai kuwa shrikisho hilo lilikubali timu ya Taifa kucheza katika mechi ambazo tim… Read More
Uholanzi kumenyana na Mexico Uholanzi kuvaana na Mexico mkondo wa pili Uholanzi ilimaliza katika nafasi ya kwanza kwenye kundi B kufuatia ushindi wa mabao 2-0 katika mechi yao ya mwisho ya makundi. Mabao ya Uholanzi yaliyofungwa na Leroy Fern na… Read More
Van Gaal: ''FIFA imetuonea'' Van Gaal akashifu FIFA kwa ratiba mbaya za mkondo wa pili Kocha wa Uholanzi Louis van Gaal amelishutumu shirikisho la soka duniani FIFA kwa "kufanya hila" kwa jinsi linavyopanga ratiba ya michuano ya Kombe la Dunia… Read More
0 comments:
Post a Comment