KIUNGO wa kimataifa wa Ghana, Andre Ayew ameteuliwa kuwa
mchezaji bora kutoka Afrika anayecheza katika Ligi Kuu ya
Ufaransa leo.
Ayew amemaliza akiwa kinara akiwazidi Max-Alain Gradel wa Ivory
Coast na klabu ya Saint-Etinne na Aymen Abdennour kutoka Tunisia
anayekipiga katika timu ya Monaco.
Kiungo huyo amekuwa katika kiwango kikubwa msimu huu na kuzivutia
klabu mbalimbali nchini Uingereza zikiwemo Liverpool, Tottenham
Hotspurs, Arsenal na hata Newcastle United ambao wako katika
hatari ya kushuka daraja.
Ayew ambaye amekuwa na Marseille kipindi cha miaka 10, alitangaza
mapema kuwa msimu huu ndio utakuwa wa mwisho kwake kuitumikia
timu hiyo.
Tuesday, 19 May 2015
AYEW ATWAA TUZO UFARANSA
Related Posts:
Mashabiki wa Ghana wazamia Brazil Zaidi ya mashabiki mia mbili wa soka kutoka Ghana walioingia Brazil kwenda kutazama Kombe la Dunia wameomba hifadhi ya ukimbizi nchini humo. Polisi wa Brazil katika mji wa Caxias do Sul wa… Read More
David Rudisha azidi kung'ara Olimpiki. David Rudisha ameshinda mbio za mita 800 wanaume katika mbio za Diamond League za Scotland. Mara ya mwisho kuwa nchini Uingereza Rudisha alishinda medali ya dhahabu katika michuano ya Olimpiki ya London 2012. Mwa… Read More
LIVERPOOL NA BARCA WAKUBALIANA JUU YA SUAREZ Liverpool wamefikia makubaliano ya kumuuza Luis Suarez kwenda Barcelona. Ada ya uhamisho inadhaniwa kuwa takriban pauni milioni 75. Suarez alijiunga na Liverpool mwaka 2011 akitokea Ajax, kwa pauni milioni 22.7. A… Read More
Refa wa fainali za Kombe la Dunia atajwa....! Nicola Rizzoli amechaguliwa na Fifa kuwa mwamuzi katika mchezo wa fainali - Kombe la Dunia Brazil 2014 kati ya Ujerumani na Argentina. &n… Read More
Robben: ‘Argentina hawana lolote’ Winga wa kidachi Arjen Robben amekiponda kikosi cha Argentina kwa kiwango duni walichokionesha mpaka sasa kwenye mashindano ya Kombe la Dunia, na kusema kuwa hata ushindi wao walioupata dhidi y… Read More
0 comments:
Post a Comment