Facebook

Thursday, 3 July 2014

Diamond azidi kupasua anga,baada ya BET aitwa kwenye tuzo nyingine.

Photo: Baada ya BET tunalejea tena nyumbani Afrika,nipo nominated kwenye Tuzo za  #Afrimma awards ( AFRICAN MUSIC MAGAZINE AWARDS) ,zitakazofanyika jijini Texas,tarehe 26 july.
Nipo nominated kwenye category 5.
Best male east afrika
Song of the year(number1).
Video of the year (number 1)
Best collabo (nymber1 rmx)ft davido
And Best afrikan artist of the year
.kuvote fuata link hii  http://afrimma.com/afrimma-nominees-2014/
Kisha vote kwenye kila category niliyopo.Ahsanteni  

DIAMOND ASEMA
"Baada ya BET tunalejea tena nyumbani Afrika,nipo nominated kwenye Tuzo za #Afrimma awards ( AFRICAN MUSIC MAGAZINE AWARDS) ,zitakazofanyika jijini Texas,tarehe 26 july.




Nipo nominated kwenye category 5.
Best male east afrika
Song of the year(number1).
Video of the year (number 1)
Best collabo (nymber1 rmx)ft davido
And Best afrikan artist of the year
.kuvote fuata link hii http://afrimma.com/afrimma-nominees-2014/
Kisha vote kwenye kila category niliyopo.
Ahsanteni
  — in Los Angeles, CA, United States."
 
Aliandika kama unavyoona hapo juu kwenye ukurasa wake wa facebook.
 
Endelea kutembelea www.bantutz.com uweze kupata habari mbalimbali zinazowahusu mastaa.

Related Posts:

  • Unamjua kidume anayemfaidi Agnes Masogange ? Kama mnavyojua dada yetu Masogange kwa muda sasa yupo nchini South Africa na amekuwa sio mchoyo wa picha zake, wakati wote amekuwa anashare nasi picha zake kupitia ukurasa wake wa Instagram Sasa mimi sijajua Sauzi… Read More
  • Lulu tena !  Si mwingine ni yule yule Elizabeth Michael A.k.A LuLu.....Hii ni moja ya picha zake zilizosambaa katika mitandao mbalimbali ya kijamii. Normal 0 false false false EN-US X-NO… Read More
  • Gwiji Michael Schumacher atoka kwenye 'coma' Michael Schumacher alikuwa akitibiwa kwenye hospitali ya Chuo Kikuu cha Grenoble nchini Ufaransa. Bingwa wa Formula 1 Michael Schumacher ameondoka hospitali mjini Grenoble na hayupo tena kwenye coma, imeeleza f… Read More
  • Wema akana kuwa na Mimba ya Diamond !   Staa wa movie Tanzania a.k.a Mrs. Diamond Platnumz ameamua kuandika ukweli kuhusu stori ulizosikia kwamba kwa sasa ni mjamzito… Kupitia page yake ya instagram Wema ameandika ‘Jamani hizi habari za mimi kuwa pregn… Read More
  • Mwanamziki apasuliwa huku akiimba. Alama Kante afanyiwa upasuaji Katika tukio la kwanza la aina yake mwanamziki mmoja nchini Ufarasa amefanyiwa upasuaji kuondoa uvimbe kooni huku akiimba. Madaktari wanasema hatua hiyo ilichukuliwa ili kuepuka kuharibu… Read More

0 comments:

Post a Comment