
Mzigo ulipokamilika nyumbani kwao alipoitengenezea, Polisi wa mji huo
wakamkataza kuipaisha kwa sababu ni kinyume na sheria lakini ili kuepuka
kumkatisha tamaa… wakamwambia ni vyema akapata kibali kutoka kwa
mamlaka ya anga.
Paul Karanja alizuiwa na polisi kuipaisha hii ndege kutoka uwanja wa
mdogo wa ndege wa Karagita na kuwanyima uhondo zaidi ya watu 500
waliofika asubuhi ya saa 3 kuangalia chombo kikipaishwa.

Karanja ambae ni Mwalimu pia wa shule ya upili, amesema tayari
ameiandikia barua mamlaka ya ndege nchini Kenya kuhusu kupaisha ndege
hiyo lakini hajapata majibu.
0 comments:
Post a Comment