
Baadhi ya mashuhuda wakiwa wanashangaa na kutoamini kutokea kwa tukio hilo linalosemekana lilikuwa kama muvi.
Watu hao wenye silaha walikuwa wakitokea kwenye kituo cha Nyerere jijini Dar es Salaam walilishambulia basi hilo na kuwajeruhi baadh ya askari.
Mahabusu waliokuwa kwenye basi hilo walianza kushangilia wakati tukio hilo likifanyika, huku ikisemekana kuwa lengo la shambulio hilo ni kuwatorosha mahabusu hao.

Gari la askari likiwa linasindikiza basi hilo la mahabusu, mbale yake ni gari ya wagonjwaa (ambulance).
Mpaka sasa hakuna taarifa yoyote kutoka jeshi la polisi na jeshi la magereza kuhusiana na tukio hilo la leo.
0 comments:
Post a Comment