Real Madrid wamemsajili mshindi wa kiatu cha Dhahabu katika michuano ya Kombe la Dunia Brazil 2014, James Rodriguez.
Mshambuliaji huyo kutoka Colombia mwenye umri wa miaka 23 amesaini mkataba wa miaka sita na Real Madrid akitokea Monaco.


Pichani James Rodriguez akiwa katika vipimo vya afya Real Madrid.
0 comments:
Post a Comment