Mtunzi wa vitabu,mchungaji na msemaji maarufu Duniani,Dr Munroe
amefariki Dunia katika ajali ya ndege huko Nchini Bahamasi.Ndege hiyo
binafsi ilipata ajali wakati inakaribia kutua kwenye mji wa Bahama.Ajali hiyo imeua watu 11 akiwamo Dr Munroe na Mke wake Ruth Munro.
Ni majuzi
tu Dr Monroe alikuwa Tanzania pale Nkurumah hall-Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam. Ni pigo kubwa kuwapoteza watu
hawa muhimu katika kizazi hiki.!
Tuendelee kujifunza kupitia kazi walizoziacha Dr.Monroena mke wake.
Aliishauri Tanzania kushikamana na kupendana.Huku akisisitiza kuondoa mizizi yote ya udini na ukabila.Vilevile aliwaasa viongozi kuiga mifano ya viongozi mbalimbali waliokuwa wakiliongoza bara la Afrika hasa kipindi cha ukoloni.
Endelea kutembelea www.bantutz.com uweze kupata taarifa mbalimbali kwa muda na wakati muafaka.
Monday, 10 November 2014
Dunia yampoteza mtu Mashuhuri,aliyewasaidia wengi.Ni baada ya kupata ajali mbaya ya kutisha.Aiachia Tanzania ujumbe mzito.
Related Posts:
MAAJABU YA DUNIA MTOTO AZALIWA NA MKIA Maajabu ya uumbaji yamemfanya mama mzazi wa Xiao Wei ambaye ni mchina amwage machozi akiomba msaada wa kunusuru maisha ya mwanae mwenye umri wa miezi 7 aliyezaliwa na mkia... Kalio la tatu … Read More
Sakata zima la mnenguaji wa kundi la kanga moko aliyepigwa risasi na askari Polisi. Akizungumza nyumbani kwake Mwananyamala jijini Dar, majeruhi huyo alisema tukio hilo lilijiri maeneo ya Mwananyamala- Kisiwani karibu na Ofisi za Chama cha Wananchi (Cuf) na kuongeza kuwa, ki… Read More
Wafahamu wasanii kutoka Bongo wenye Uwezo mkubwa wa kifedha na jinsi wanavyofanya matanuzi. Wasaniiwa Tanzania wana mashabiki wengi, miongoni mwao tayari ni mamilionea (wa shilingi), wapo wenye mijengo, magari ya kifahari, miradi ya biashara, makampuni, endorsements na vitu vingine. Hawa ndio wasanii 12 wa Tan… Read More
UKIMWI kudhibitiwa mwaka 2030 Kuna uwezekano kuwa UKIMWI unaweza kudhibitiwa ifikapo mwaka 2030, kwa mujibu wa taarifa ya shirika la Umoja wa Mataifa. Shirika hilo- UNAids- limesema idadi ya maambukizi mapya ya virusi vya HIV na vifo vinavy… Read More
MAAJABU YA DUNIA:BINADAMU AGEUKA MTI Ni miujiza ya Mungu. Mitihani ipo kila kona kwa aina mbalimbali lakini hatutakiwi kukufuru. Tunapaswa kukubali matokeo na kuomba nusura kwa Muumba, kwani kazi yake haina makosa. Binadamu ageuka mti! Unaweza kudhani ni simuli… Read More
0 comments:
Post a Comment