Facebook

Monday, 10 November 2014

Mwakilishi wa Kanye West akanusha picha ya orodha ya ngoma za album ijayo ya Kanye "Fake"

Baada ya siku ya jana kusambaa kwa covey inayoonyesha majina ya wimbo zitakazokuwepo kwenye album inayofata ya Kanye West "Paris" kusambaa kuwa zimevuja uongozi wakanusha.
Samahanini, majina ya nyimbo yanayosemekana kuwa ni ya album inayofata ya Kanye ni fake, amesema mmoja wa wawikilishi wa Kanye 
Ikiwa imeripitiwa na Billboard tracl orodha hiyo ilijumuisha majina kama Lana Del Rey, Migos, Big SeanPusha T, Common, Teyana TaylorJay Z,Beyonce na wengine kibao (kilichoshangaza wengi ni kuwepo kwa chicago remix ya wimbo "All Day" ikiwa na Cheef Keef na  Rhymefest kwenye ngoma hiyo) 

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment