Facebook

Monday, 10 November 2014

HUYU HAPA TAJIRI MWENYE NYOTA YA AJABU AFRIKA.

 
Mtandao wa Forbes umetoa orodha mpya ya
matajiri hamsini kutoka Afrika orodha ambayo
inaongozwa na tajiri wa Nigeria ambae ni
Mfanya biashara maarufu na Rais wa
kampuni ya Dangote Aliko Dangote,
aliyekuwa akishikilia nafasi ya arobaini na
tatu na kupanda nafasi ishirini.

Forbes imetoa taarifa hiyo na kusema
Dangote pia anashikiliana nafasi ya
hamsini na saba kwa watu matajiri Duniani.
na mtu wa pili katika watu wenye
ushawishi mkubwa.

Dangote ni mfanyabiasha mkubwa
anaefanya biashara za Cement, Sukari,
Unga, Vinjwaji na biashara ya mafuta,
bishara ambayo kwa sasa ina thamani ya
Dola Bilioni ishirini na tano pia ni
mfanyabiashara mweusi anayetajwa sana
kati ya matajiri ishirini na tano Duniani.

Mmiliki wa kampuni ya mawasiliano ya
Globacom Chief Mike Adenuga, nae
ameingia katika nafasi ya pili ya matajiri
Nigeria anaemiliki Dola Bilioni nne nukta
sita na kushikilia nafasi ya miatatu ishirini
na tano Duniani.

Related Posts:

  • Msichana auawa kwa kumtetea babake India Unyanyapaa dhidi ya wanawake ni jinamizi kubwa India Polisi nchini India wanasema kuwa msichana mmoja ambaye alijaribu kumtetea babake kw… Read More
  • Nigeria kuishitaki Schalke kwa FIFA Shirikisho la soka Nigeria limesesema litaishitaki klabu ya Schalke ya Ujerumani kwa Fifa baada ya klabu hiyo kukataa kumruhusu mshambu… Read More
  • "GETO" LA BALOTELLI?Mario Balotelli ndio kwanza amerejea England, kwa mara ya pili, lakini inaonekana haijamchukua muda mrefu kugonga vichwa vya habari, safari hii kwa kuonesha "ladha" ya mitindo na mambo anayopenda. Mchezaji huyo wa Liverpool a… Read More
  • Rais Obama alaani mauaji ya mwandishi Mwandishi Mmarekani Steven Sotloff aliyeuawa kwa kunyongwa na wapiganaji wa kiisilamu Rais wa Marekani Barack Obama amesema kuwa Marekani haitatishwa na mauaji wa mwandishi mwingine wa habari Mmarekani na kundi la I… Read More
  • Cleverley ajiunga Aston Villa kwa mkopo. Aston Villa wamemsajili kiungo wa Manchester United Tom Cleverley kwa mkopo hadi mwisho wa msimu. Hata hivyo, inafahamika kwamba United wana kigezo cha kumchukua tena mwezi Januari, au Villa ikamilishe uhamisho wake moja kwa… Read More

0 comments:

Post a Comment