Mtandao wa Forbes umetoa orodha mpya ya
matajiri hamsini kutoka Afrika orodha ambayo
inaongozwa na tajiri wa Nigeria ambae ni
Mfanya biashara maarufu na Rais wa
kampuni ya Dangote Aliko Dangote,
aliyekuwa akishikilia nafasi ya arobaini na
tatu na kupanda nafasi ishirini. Forbes imetoa taarifa hiyo na kusema
Dangote pia anashikiliana nafasi ya
hamsini na saba kwa watu matajiri Duniani.
na mtu wa pili katika watu wenye
ushawishi mkubwa. Dangote ni mfanyabiasha mkubwa
anaefanya biashara za Cement, Sukari,
Unga, Vinjwaji na biashara ya mafuta,
bishara ambayo kwa sasa ina thamani ya
Dola Bilioni ishirini na tano pia ni
mfanyabiashara mweusi anayetajwa sana
kati ya matajiri ishirini na tano Duniani. Mmiliki wa kampuni ya mawasiliano ya
Globacom Chief Mike Adenuga, nae
ameingia katika nafasi ya pili ya matajiri
Nigeria anaemiliki Dola Bilioni nne nukta
sita na kushikilia nafasi ya miatatu ishirini
na tano Duniani.
Brazil yaponea chupuchupu
Neymar alifinga penalti yake, sababu ya furaha hii
Brazil imeponea kung'olewa kutoka mashindano ya kombe la dunia yanayoendelea nchini humo.
Hii ni baada…Read More
Muimbaji wa Nigeria atoa bikira yake kwa Boko Haram
Mwanamuziki,
muigizaji na balozi wa amani wa Umoja wa Mataifa Adokiye amesema yuko
tayari kutoa bikira yake kwa Boko Haram ili wawaachie wasichana
waliowateka nyara.
Mwimbaji wa pop wa nchini Nigeria na ba…Read More
Maradona-‘FIFA wanapaswa kumtupa Suarez Guantanamo’
Suarez
akishika meno yake kuangalia yapo auyametoka baada ya kumng’ata mlinzi
wa Italia Giorgio Chiellini wakati Uruguay ilipokuwa inamenyana na
Italia kwenye mashindano ya Kombe la Dunia 2014, Brazil.
Diego Mara…Read More
Maximo kuinoa Yanga kwa miaka miwili
Kocha mpya wa klabu ya Yanga Maxio Maximo. Maximo alikuwa kocha wa zamani wa timu ya taifa Taifa Stars.
Aliyekuwa kocha wa Timu ya Taifa ya hapa nchini Maxio Maximo kutoka
Brazil amepata fursa ya kurudi tena hapa n…Read More
Ada vyuo vya ualimu yapanda maradufu
Serikali imepandisha maradufu ada kwa wanafunzi wanaosomea ualimu kwenye vyuo vya ualimu nchini kuanzia muhula ujao wa masomo.
Ada hizo kwa wale wa ngazi za cheti na stashahada ambazo zimeongezwa
kwa karibu mara …Read More
0 comments:
Post a Comment