Rais wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete
alifanyiwa upasuaji wa tezi dume
(prostrate) katika Hospitali ya Johns
Hopkins iliyoko Baltimore, Jimbo la
Maryland nchini Marekani.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kurugenzi
ya Mawasiliano ya Ikulu ya Tanzania, Rais
Kikwete amefanyiwa upasuaji huo baada ya
madaktari waliomfanyia uchunguzi wa afya
yake kujiridhisha kuwa Rais alikuwa anahitaji
matibabu ya aina hiyo.
Upasuaji huo ulikuchukua kiasi cha saa moja
unusu ambapo inaelezwa kuwa umefanyika
salama na kwa mafanikio makubwa.
Taarifa hiyo inasema hali ya Rais Kikwete
inaendelea vizuri japo bado yuko wodini
akiendelea kuwa chini ya uangalizi wa
madaktari na kupatiwa tiba.
Sunday, 9 November 2014
Kikwete afanyiwa upasuaji wa tezi dume
Related Posts:
Askari 78 watimuliwa MwanzaASKARI 78 wa usalama barabarani Mkoa wa Mwanza, wameondolewa katika nafasi zao na kupangiwa kazi nyingine katika vitengo mbalimbali kutokana na utovuwa nidhamu. .Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Kamishina Msaidizi wa Polisi,… Read More
Maalim Seif atangaza kutoshiriki Uchaguzi utakaorudiwa Zanzibar.Mgombea Urais kwa tiketi ya CUF Zanzibar Maalim Seif amesisitiza tena kuwa yeye na chama chake hawatoshiriki kwenye zoezi la kurudia Uchaguzi Visiwani Zanzibar kama ilivyotangazwa na ZEC Ameyasema hayo Jijini Dar baada ya kik… Read More
Kikwete afurahia kasi ya Rais Magufuli.Rais aliyeondoka mamlakani majuzi nchi Tanzania amesifu jinsi Rais mpya John Magufuli ameanza kufanya kazi na kumtaka aendelee vivyo hivyo. Rais mstaafu Jakaya Kikwete alisema hayo wakati wa kukabidhi rasmi ofisi yake kwa Rai… Read More
Serikali yasimamisha wafanyakazi 4 kwa tuhuma za wizi wa kuaminika Kilimanjaro.Wafanyakazi wanne wa halmashauri ya wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro wamesimamishwa kazi na mweka hazina wa hospitali ya machame amefukuzwa kazi kwa tuhuma mbili tofauti za wizi wa kuaminika wa kujipatia zaidi ya shs.74mil/=.… Read More
Na Happiness Katabazi:- DK.TULIA ACKSON HUFAI KUENDELEA KUWA NAIBU MWANASHERIA MKUU WA SERIKALINAIBU Mwanasheria Mkuu wa Serikali ,Dk.Tulia Ackson Novemba 11 Mwaka huu, amechukua fomu ya Kugombea nafasi ya Spika kupitia Chama Cha Mapinduzi(CCM). Ieleweke kwamba Cheo cha Naibu Mwanasheria Mkuu wa serikali ni Cheo … Read More
0 comments:
Post a Comment