Klabu ya Swansea November 9 2014 imeendeleza ubabe mbele ya vilabu vikubwa vya ligi kuu ya Uingereza ambapo wakicheza kwenye uwanja wao wa Liberty, Swansea ambao waliwafunga 2-1 Man United kwenye mchezo wa kwanza wa Ligi hiyo, wamewachapa Arsenal 2-1.
Gunners walianza kupata goli la kuongoza kupitia mchezaji wao nyota Alexis Sanchez katika dakika ya 63 lakini yuleyule mchezaji aliyewaliza Man United Gylfi Sigurdsson akaisawazishia Swansea kwenye dakika ya 74.
Akitokea benchi Mshambuliaji Bafetimbi Gomez alifunga goli la ushindi dakika mbili
kabla ya mechi kuisha hivyo mpaka mwamuzi anapuliza kipenga cha mwisho
jahazi la Arsene Wenger na vijana wake lilikuwa limezama.
MSIMAMO WA LIGI
Related Posts:
Tifa Stars yafungwa na Burundi 3-0 kwenye maadhimisho ya miaka 50 Muungano...........
Timu
ya Taifa ya Tanzania, Taifa stars imechapwa mabao 3-0 dhidi ya Burundi
katika mechi ya kirafiki ya kuadhimisha miaka 50 ya muungano, uwanja wa
Taifa, jijini Dar es salaam.
Mmechi hiyo imechez… Read More
Giggs aanza kwa kishindo Man Utd, Rooney na Mata watupia..................
Ikiwa
ni mechi ya kwanza toka Ryan Giggs achaguliwe kuchukua kwa muda nafasi
ya David Moyes alietimuliwa, Manchester United imemiliki headlines kwa
sauti kubwa baada ya ushindi mkubwa ilioupata leo Apri… Read More
Ronaldo atuma salamu Bayern,atupia 2 Madtrid ikishinda 4-0,Ramos atoa ya moyoni................
MABAO
mawili ya mwanasoka bora wa dunia, Mreno, Cristiano Ronaldo katika
ushindi wa 4-0 wa Real Madrid dhidi ya Osasuna usiku wa jana, yamemfanya
atimize mabao 30 na kuongeza … Read More
Giggs apokelewa kwa shangwe O.T, inaonekana Moyes kuna vitu alikuwa anakosea wachezaji kulingana na kauli za Giggs........
Kipenzi
cha mashabiki: Kocha wa muda wa Manchester United, Ryan Giggs
akiwapigia makofi mashabiki Uwanja wa Old Trafford baada ya kuiwezesha
timu kushinda mabao 4-0 jana dhidi ya Norwich City katik… Read More
Mdachi akabidhiwa rasmi Tifa Stars................
Shirikisho
la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza rasmi Mart Nooij kutoka
Uholanzi kuwa kocha mkuu mpya wa timu ya Taifa (Taifa Stars).
Rais wa TFF, Jamal Malinzi
amemtambulisha kocha huyo leo (Apri… Read More
0 comments:
Post a Comment