Kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, leo
kinashuka dimbani kumenyana na timu ya Taifa ya Swaziland
katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa ulio kwenye kalenda
ya Shirikisho la soka la kimataifa (FIFA), utakaopigwa kwenye
uwanja wa Taifa wa Somhlolo, nchini Swaziland.
Channel 116 ZBC-2 inayopatikana kwenye king'amuzi cha
Azam tv, itaonyesha mpambano huo. Mungu ibarika Taifa
Stars, Mungu ibariki Tanzania.
Sunday, 16 November 2014
Tanzania dumbani leo dhidi ya Swaziland,Mechi live Azam Tv.
Related Posts:
BRENDAN RODGERS ALIA NA LIVERPOOL, ATAKA STEVEN GERRARD APEWE MKATABA MPYA HARAKAKOCHA wa Liverpool, Brendan Rodgers anataka nahodha wake Steven Gerrard aendelee kubaki klabuni na anataka apewe mkataba mpya. Gerrard amezua sintofahamu kupitia mahojiano yake na Sportsmail siku ya Ijumaa pale aliposema bado… Read More
ROONEY KUCHEZA, FALCAO NJE MANCHESTER DERBY Wayne Rooney yuko 'fiti' na ataanza kwa upande wa Manchester United dhidi ya Manchester City, lakini mshambuliaji Radamel Falcao hatocheza kutokana na kuwa bado majeruhi. Meneja wa Man Utd Louis van Gaal amethibiti… Read More
Majeruhi wazidi kuongezeka ArsenalKiungo wa Arsenal Jack Wilshere hatocheza dhidi ya Burnley siku ya Jumamosi kwa sababu ya jeraha la goti. Kieran Gibbs naye atatazamwa kama ataweza kucheza, huku Matheiu Debuchy, Yaya Sanogo, Laurent Koshielny, Mesut Ozil, Ab… Read More
Chelsea yapeta Capital One Cup. Didier Drogba ameipa ushindi Chelsea wa mabao 2-1 dhidi ya Shrewsbury. Mchezo huo wa kombe la ligi marufu kama capital one, umechezwa usiku wa kuamkia leo. Timu kadhaa zilijitupa uwanjani ili kutafuta nafasi ya kuingia rob… Read More
Manchester City yatolewa Capital One Mechi za kombe la ligi ya CAPITALA ONE CUP zimeendelea usiku wa kuamkia leo viwanjani. Manchester City ikicheza nyumbani ilijikuta ikiwaduwaza mashabiki wake baada ya kukubali kichapo cha mabao 2 bila majibu kutoka kwa N… Read More
0 comments:
Post a Comment