
Mwili wa Msanii Mez B leo utapumizishwa katika nyumba yake ya milele katika makaburi ya Wahanga yaliopo Maili Mbili mjini Dodoma.Marehemu Mez B Anapewa heshima za mwisho katika Viwanja vya Mashujaa.
Comment #RIPMEZB na kumwombea apumzike salama.
Entertainment and Updates
0 comments:
Post a Comment