
Iryn amesema kuwa, hajisikii huruma yoyote kwa Ueno ambaye alikuwa meneja wake kutokana na kitendo alichomfanyia kumharibia maisha yake, akitaka sheria kuchukua nafasi yake na kuhakikisha kuwa anaozea gerezani.
Kesi hiyo ya usafirishaji wa dawa za kulevya imemalizika huko Japan na kuacha katika rekodi ya Iryn historia ya kuwekwa kizuizini kwa muda kabla ya ukweli halisi kuja kufahamika
0 comments:
Post a Comment