
Kapteni huyo amesisitiza watamaliza msimu ujao kwa mafanikio na kuiletea heshima timu hiyo.
Kocha Rodgers alikuwa na wakati mgumu baada ya matokeo yasiyofurahisha mwishoni mwa msimu na kushindwa kuwapa kikombe chochote.
Kwa kikosi cha sasa cha Liverpool kitaweza kushindana na miamba mingine ya soka katika mbio za ubingwa?
0 comments:
Post a Comment