
Mchezaji huyo amefunga magoli 27 katika Ligue 1 msimu huu pia anafuatiliwa na miamba mingine ya Premier League timu za Arsenal, Newcastle na Tottenham.
kwa upande wake Brendan Rodgers amesikitishwa na maamuzi hayo baada ya kushindwa kuipa timu yake nafasi ya kushiriki klabu bingwa Ulaya.
Je ! unadhani mchezaji Lacazette ni chaguo bora kwa Liverpool kwa msimu ujao wa EPL katika kurudisha heshima Anfield.
0 comments:
Post a Comment