
Zaidi ya watu 30 wameuawa na wengine kujeruhiwa kutokana na bomu lililokuwa limetegwa kwenye gari huko Libya katika mji wa mashariki wa Qubbah.
Hakuna aliyejitangaza kuhusika na shmbulizi hilo .
Libya imo katika hali ya mtafaruku kwa miaka minne sasa tangu kupinduliwa kwa aliyekuwa kiongozi wake Muammar Gaddafi huku kukiwa na serikali mbili na mabunge mawili ambayo yanapigania uongozi.
CHANZO:BBC
0 comments:
Post a Comment