Saturday, 26 April 2014
Ryan Giggs "Nataka timu ya kufunga magoli tu staki Man U ifungwe".......
Kocha wa muda wa Manchester United, Ryan Giggs amesema amejisikia furaha kubwa kupata nafasi ya kuingoza timu hiyo kwa muda uliobaki huku akiahidi mambo mazuri kwa mechi nne zilizosalia.
Akizungumza leo na MUTV, Giggs amesema kuwa ana uhakika mashabiki wa timu ya Manchester United wataona magoli na watapata burudani nzuri.
“ I’ve got to say it’s the proudest moment of my life. I’ve supported Manchester United all my life, it’s been the biggest part of my life since I was 14 when I signed schoolboy forms. I’m proud, happy, a little bit nervous but just like I am as a player I can’t wait for the game on Saturday. Obviously I played under Sir Alex for so long so he was the first person to call because I wanted advice and to know what to expect. Who better to ring? Why wouldn’t I?! I’ve just said to them ‘I trust you and I know what you’re capable of and go out there and show it on Saturday and give the fans something to shout about. Entertain them, score goals, make tackles, play with speed, play with tempo.’alisema Giggs.
Related Posts:
BantuTz MAGAZINE-Soma kilichoandikwa katika Magazeti ya Tanzania leo Novemba 14 BantuTz MAGAZETINI-Ni uratatibu ambao BantuTz imeuanzisha ili kuwawezesha wadau wote wa Bantu waweze kusoma na kupitia kurasa za magazeti mbalimbali nchini kila siku asubuhi ili kuwasogezea karibu zaidi huduma kupata… Read More
Equitorial Guinea kuandaa kombe la Mataifa ya Afrika 2015.Taifa la Equitorial Guinea ndilo litakaloandaa michuano ya dimba la mataifa ya Afrika mwaka 2015. Kulingana na shirikisho la soka barani Afrika, taifa hilo limetajwa baada ya Morrocco kukataa kuandaa michezo hiyo kutokana na … Read More
Fellain-"Nacheza namba yoyote ile uwanjan"Mchezaji wa Manchester United, Marouane Fellaini aulizwa juu ya namba ambayo anaweza kuicheza vyema na akasema anaweza akacheza popote. "inategemea na kocha,wakati mwingine anaweza akanichezesha kama kiungo mlinzi lakini hivi… Read More
Simba yamjaza 'manoti' Mkude.Yarusha ndoano kumsajili Msuva kutoka Yanga.Msuva? Ah Wapi, yanga yakataa, Mkude ajazwa manoti na Simba SIMBA imemjaza noti na kumwongezea mkataba wa miaka miwili kiungo wake, Jonas Mkude na sasa Jonas Mkude (Katikati) akisaini mkataba wa kuendelea kuichezea timu ya Si… Read More
Mesut Ozil aingia kwenye mgogoro na baba yake. Uhusiano kati ya mchezaji wa kimataifa wa Ujerumani na Arsenal Mesut Ozil na Baba yake Mustafa Ozil huenda ukawa umesambaratika kutokana na mabishano ya kisheria. Mustafa aliifikisha kampuni ya masoko ya mwanaye mahaka… Read More
0 comments:
Post a Comment