Facebook

Sunday, 27 April 2014

Agness Masogange awachana wanaotumia jina lake kwenye social network......................




Mrembo Agness amefunguka kwa mara nyingine tena na kulalamikia wadau wanaofungua account fake kwenye social networks na kutapeli watu kwa kutumia jina lake. Mrembo huyo amepost picha na ujumbe huo hapa juu kupitia akaunti yake ya Instagram yake:

Duh ! Kweli watu wanapenda Miteremko .....hizo accounts zote ni Fake kwa jina la Masogange....mmhhh wabongo tujishughulishe................................


Ni katemimethsela.blogspot.com pekee sehemu ambayo unaweza kupata habari mbalimbali zinazowahusu mastaa kwa wakati muafaka bila zengwe.........

Related Posts:

  • Msanii maarufu aibiwa gari marekani....!! Mwimbaji na muigizaji nyota wa Marekani Miley Cyrus ameibiwa gari na vito vyake vya thamani. Polisi wa mjini Los Angeles wamethibitisha kuwa wizi huo umetokea siku ya Ijumaa nyumbani kwa Miley, San Fernando Valley. Po… Read More
  • Sintah Amchana Irene Uwoya Blogger Sintah Amemchana Irene Uwoya baada ya Picha zake za Mahaba kusambaa Akiwa na Kiserengeti Boy cha THT. Jisomee Alichosema Sintah "Katika dawati letu hatusemi mengi zaidi ya kusema Irene, Irene, Irene???… Read More
  • Jux aanzisha tovuti yake rasmi   Msanii wa Bongo Fleva Jux amezindua rasmi website yake Mei 31, ikiwa ni njia nzuri ya kuwa karibu na mashabiki wake na kutangaza kazi zake kimataifa. Website ya Jux itakuwa na mambo tofauti kuhusu ye… Read More
  • Marlon Wayans kuwa mshereheshaji wa Tuzo za MTV Africa 2014         Tuzo za muziki za MTV 2014 zinarudi tena na ucheshi toka kwa Marlon Wayans, mchekeshaji mwenye miaka 41 ambae amekuwa kwenye game kwa muda mrefu sana ye… Read More
  • Diamond kufanya ‘kollabo’ na Trey Songz ? Diamond bado yupo nchini Marekani,hii picha amepiga pamoja na mmoja wa mwanachama wa kundi la Wasafi ikimwonesha Diamond akiwa na meneja wa wasanii wakubwa wa Marekani, akiwemo Trey Song, Big Sean, Este… Read More

0 comments:

Post a Comment