Facebook

  • Tutorial 1

    This is Trial

  • Tutorial 2

    This is slide 2 description. Go to Edit HTML and replace these sentences with your own words. This is a Blogger template by Lasantha - PremiumBloggerTemplates.com...

  • Tutorial 3

    This is slide 3 description. Go to Edit HTML and replace these sentences with your own words. This is a Blogger template by Lasantha - PremiumBloggerTemplates.com...

Saturday 6 February 2016

Ratiba ya Soka katika ligi mbalimbali barani Ulaya Leo Jumamosi.

RATIBA YA SOKA LEO JUMAMOSI 06/02/2016
★Barclays Premier League
3:45 PM - Manchester City vs Leicester City
6:00 PM - Aston Villa vs Norwich City
6:00 PM - Liverpool vs Sunderland
6:00 PM - Newcastle United vs West Bromwich Albion
6:00 PM - Stoke City vs Everton
6:00 PM - Swansea City vs Crystal Palace
6:00 PM - Tottenham Hotspur vs Watford
8:30 PM - Southampton vs West Ham United

★Spanish Primera División
6:00 PM - Atletico Madrid vs Eibar
8:15 PM - Rayo Vallecano vs Las Palmas
10:30 PM - Athletic Bilbao vs Villarreal
07/02/2016
12:05 AM - Sporting Gijon vs Deportivo La Coruña

★German Bundesliga
5:30 PM - Eintracht Frankfurt vs VfB Stuttgart
5:30 PM - FC Ingolstadt 04 vs FC Augsburg
5:30 PM - Hannover 96 vs Mainz
5:30 PM - Hertha Berlin vs Borussia Dortmund
5:30 PM - Schalke 04 vs VfL Wolfsburg
8:30 PM - Bayer Leverkusen vs Bayern Munich

★Italian Serie A
8:00 PM - Bologna vs Fiorentina
10:45 PM - Genoa vs Lazio

★French Ligue 1
4:00 PM - AS Monaco vs Nice
7:00 PM - Angers vs Lyon
10:00 PM - Bastia vs Troyes
10:00 PM - Caen vs Stade de Reims
10:00 PM - GFC Ajaccio vs Guingamp
10:00 PM - Lorient vs Montpellier
10:00 PM - Toulouse vs Nantes

~Abel Alvaro

Rosicky Nje miezi mitatu.

Kiungo wa kati wa kilabu ya Arsenal Tomas Rosicky hatochezea timu yake kwa kipindi cha miezi mitatu kutokana na jeraha.Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 35 ambaye kandarasi yake inakamilika katika msimu wa joto,alipata jeraha jingine la paja wakati wa mechi dhidi ya Burnley siku ya jumamosi baada ya kipindi cha miezi saba akiuguza jereha.Mchezaji huyo wa taifa la Czech alijiunga na Arsenal mnamo mwezi Mei mwaka 2006.

Alipoulizwa iwapo Rosicky ameichezea Arsenal mechi yake ya mwisho,Wenger alijibu:Natumai hapana ,lakini jeraha hilo ni baya sana.Rosicky ambaye aliichezea Arsenal mara 246 alisaini mkataba wa mwaka mmoja msimu uliopita.

Wakati huohuo,Wenger amethibitisha kwamba mshambuliaji Danny Welbeck atarudi kuwachezea wachezaji wa Arsenal wasiozidi umri wa miaka 21 siku ya ijumaa.Mchezaji huyo wa Uingereza,mwenye umri wa miaka 25,ameuguza jereha tangu mwezi Aprili 2015 baada ya kupata jeraha hilo katika mechi iliotoka sare ya 0-0 dhidi ya Chelsea.

Friday 5 February 2016

Hili ndilo Baraza la Mawaziri Vivuli lilikotajwa leo bungeni.

BARAZA KIVULI LA MAWAZIRI

1.Wizara ya Ofisi ya Rais, Tamisemi, Utumishi na
Utawala Bora.
Mawaziri – Jaffar Michael
Naibu Waziri – Joseph Nkundi na Ruth Mollel

2.Wizara ya Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano
na Mazingira
Waziri – Ali Saleh Abdalla
Naibu Waziri – Pauline Gekul

3.Ofisi ya Waziri Mkuu: Sera, Bunge, Kazi Vijana,
Ajira na Walemavu
Waziri – Esther Bulaya
Naibu – Yusuph Makame na Maftah Abdalla

4.Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
Waziri – Magdalena Sakaaya
Naibu Waziri – Emmaculate Swari

5.Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano.
Inj. James Mbatia
Naibu Waziri Willy Kombucha

6.Wizara ya Fedha na Mipango
Waziri – Halima Mdee
Naibu Waziri – David Silinde

7.Wizara ya Nishati na Madini
Waziri – John Mnyika
Naibu Waziri – John Heche

8.Wizara ya Katiba na Sheria
Waziri – Tundu Lissu
Naibu Waziri Abdalla Mtolela

9.Waziri wa Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afika
Mashariki, Kikanda na Kimataifa.
Waziri – Peter Msigwa
Naibu Waziri – Riziki Shaghal

10.Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa
Waziri – Juma Omari
Naibu Waziri Mwita Waitara

11.Wizara ya Mambo ya Ndani
Waziri – Godbless Lema
Naibu Waziri Masoud Abdalla

12.Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya
Makazi.
Waziri – Wilfred Lwakatare
Naibu Waziri – Salum Mgoso

13.Wizara ya Maliasili na Utalii
Waziri Esther Matiko
Naibu Waziri– Cecilia Pareso

14.Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji.
Waziri Anthony Komu
Naibu Waziri Cecil Mwambe

15.Wizara ya Elimu, Sayansi Teknolojia na Ufundi
Waziri – Suzan Lyimo
Naibu Waziri Dkt. Ali Suleiman Yusuph

16.Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii, Jinsia,
Wazee na Watoto
Waziri – Dkt. Godwin Mollel
Naibu Waziri Zubeda Sakul

17.Wizara ya Habari, Utamadu, Wasanii na Michezo
Waziri – Joseph Mbilinyi
Naibu Waziri – Devotha Minja

18.Wizara ya Maji na Umwagiliaji
Waziri – Hamidu Hassan
Naibu Waziri– Peter Lijualikali.

Tuesday 2 February 2016

Kiungo wa Manchester United ajiunga na Hull City.

Kiungo wa Klabu ya Manchester United,Nick Powell amejiunga na klabu ya Hull City baada ya kukosa nafasi katika klabu hiyo na atakuwa Hull City kwa mkopo hadi mwisho wa msimu huu kumalizika.

Manchester United,Arsenal zatuma ofa kwa Mshambuliaji wa PSG.

Vilabu vya Arsenal na Manchester United vyote vinashiriki ligi kuu nchini Uingereza vimeripotiwa kuangalia uwezekano wa kumsajili Mshambuliaji hatari Edison Cavan ambaye hana furaha katika klabu ya PSG ya nchini Ufaransa.

Mshambuliaji huyo ambaye anapendelea zaidi kucheza nafasi ya ushambuliaji hana furaha katika klabu ya PSG kutokana na kuchezeshwa sehemu ambayo haifurahi,Cavani anapatikana kwa £55m endelea kutembelea www.bantuz.com na kwa taarifa za usajili kwa wakati na muda muafaka like na tembelea page yetu facebook :--> http://www.facebook.com/bantuzfanspage

Monday 1 February 2016

Beki wa Arsenal asajiliwa rasmi Bordeaux.

Klabu ya Arsenal imethibitisha mlinzi wake wa pembeni Mathieu Debuchy amejiunga na klabu ya Bordeaux kwa mkopo hadi mwisho wa msimu.

Huku taarifa za awali zinasema;Klabu ya Manchester United ilikuwa imetuma maombi kwa klabu ya Arsenal kuhitaji kuhitaji huduma ya mlinzi huyo lakini kocha wa Arsenal ameamua kukubali ofa ya klabu ya Bordeaux.

-www.bantuz.com

VALENCIA YANASA KIFAA KUTOKA REAL MADRID

Klabu ya Valencia inayonolewa na Muingereza,lijendari wa Manchester United Garry Neville imethibitisha kumnasa winga mshambuliaji wa Klabu ya Real Madrid; Denis Cheryshev kwa mkopo wa miezi sita.

-Bantu Sources.

Radamel Falcao kurejea Atlético Madrid.

Mshambuliaji wa Chelsea mwenye asili ya Colombia Radamel Falcao muda huu anasafiri kuelekea Spain kufanya makubaliano na Klabu yake ya zamani Atlético Madrid ili kuhamia katika Klabu hiyo.

Dili hilo likitarajiwa kukamilika kabla dirisha la usajili halijafungwa.Endelea kutembelea www.bantuz.com kwa taarifa zote za usajili.

NEWCASTLE UNITED YAPELEKA DAU KWA BERAHINO.

Klabu ya Newcastle United ambayo inaonekana kufanya usajili wa kutisha katika dirisha hili muda huu imetuma maombi na dau la £24ml katika klabu ya West Brom kumsajili mshambuliaji hatari Saido Berahino.

-Bantu Sources.

MAN UNITED YARUSHA 'NDOANO' KWA IGHALO.

Klabu ya Manchester United imewasilisha maombi kwa klabu ya Watford kumsajili mshambuliaji wao hatari Odion Ighalo kabla dirisha la Usajili halijafungwa.

-Bantu Sources.

Bayern Munich yamsajili Serdar Tasci kutoka Spartak Moscow

Klabu ya Bayern Munich imemsajili Serdar Tasci kutoka klabu ya Spartak Moscow inayoshiriki ligi Kuu nchini Urusi kwa mkopo uliogharimu €2.5m kukiwa na kipengele cha kumnunua jumla kwa €10m.

-Bantu Sources

Klabu ya Hannover 96 yanasa kifaa kutoka Besiktas.

Klabu ya Hannover 96 inayoshriki Ligi Kuu ya Ujerumani (Bundesliga) imethibitisha kumsajili Alexander Milošević kwa mkopo kutoka Besiktas huku katika mkataba kuna kipengele cha kumnunua mkataba utakapomalizika.

-Bantu Sources.