Facebook

Monday 1 February 2016

Klabu ya Hannover 96 yanasa kifaa kutoka Besiktas.

Klabu ya Hannover 96 inayoshriki Ligi Kuu ya Ujerumani (Bundesliga) imethibitisha kumsajili Alexander Milošević kwa mkopo kutoka Besiktas huku katika mkataba kuna kipengele cha kumnunua mkataba utakapomalizika.

-Bantu Sources.

0 comments:

Post a Comment