Facebook

  • Tutorial 1

    This is Trial

  • Tutorial 2

    This is slide 2 description. Go to Edit HTML and replace these sentences with your own words. This is a Blogger template by Lasantha - PremiumBloggerTemplates.com...

  • Tutorial 3

    This is slide 3 description. Go to Edit HTML and replace these sentences with your own words. This is a Blogger template by Lasantha - PremiumBloggerTemplates.com...

Thursday 30 October 2014

Mfahamu Rais wa kwanza mzungu ndani ya Bara la Afrika tangu kuisha ubaguzi wa rangi.

Guy Scott
Guy Scott ambaye alikuwa makamu wa rais Zambia wakati wa utawala wa Michael Sata ametajwa kushika nafasi ya urais wa nchi hiyo kwa sasa mpaka pale ambapo ataapishwa mara baada ya kufanyika uchaguzi mkuu wa nchi hiyo.
Waziri wa ulinzi Zambia Edgar Lungu amesema maandalizi ya uchaguzi huo yataanza muda wowote ambapo katiba ya nchi hiyo inaagiza kufanyika uchaguzi wa Rais ndani ya siku 90 baada ya kufariki kwa aliyekuwa rais wa nchi hiyo.
Scott ameteuliwa kushika wadhifa huo ambapo hii itakuwa mara ya kwanza kwa rais mzungu kuongoza nchi ya Afrika tangu kuisha kwa kipindi cha ubaguzi wa rangi Afrika Kusini chini ya utawala wa FW de Klerk.
Kulikuwa na utata uliotokana na katiba ya Zambia kumruhusu Scott kushika wadhifa huo kwa sababu wazazi wake wanatokea Scottland, huku katiba hiyo ikitaja rais wa nchi hiyo ni lazima awe Mzambia kamili kwa maana ya kwamba wazazi wake wote wawili wanapaswa kuwa wamezaliwa nchini humo.

Chelsea yapeta Capital One Cup.

Photo: Three goals in three games for Didier Drogba!
Didier Drogba ameipa ushindi Chelsea wa mabao 2-1 dhidi ya Shrewsbury.
Mchezo huo wa kombe la ligi marufu kama capital one, umechezwa usiku wa kuamkia leo.
Timu kadhaa zilijitupa uwanjani ili kutafuta nafasi ya kuingia robo fainali yaligi hiyo katika ligi hiyo.
Mario Balotelli ametia chachu katika ushindi wa mabao 2-1 iliyoupata Liverpool katik mchezo dhidi ya Swansea City.
Mashabiki wa Fulham nao huenda walilala mapema baada ya kushuhudia timu yao ikipokea kichapo cha magoli 5-2 pale walipoialika Derby.
Bournemouth wakailaza West Brome kwa jumla ya mabao 2-1, huku Sheff Utd ikiibamiza MK Dons kwa ushindi wa mabao 2-1

Manchester City yatolewa Capital One


Mechi za kombe la ligi ya CAPITALA ONE CUP zimeendelea usiku wa kuamkia leo viwanjani.
Manchester City ikicheza nyumbani ilijikuta ikiwaduwaza mashabiki wake baada ya kukubali kichapo cha mabao 2 bila majibu kutoka kwa Newcastle utd na kutupwa nje kabisa ya mashindano hayo.
Nayo Tottenham hotspurs iliutumia vema uwanja wake wa nyumbani kwa kuichabanga vilivyo kabisa Brighton kwa jumla ya mabao 2-0.
Nayo Southampton ikairarua Stoke City kwa jumla ya mabao 3-2.
Kwa matokeo haya ya sasa, katika robo fainali Chelsea watapambana na Derby, wakati Tottenham watavaana na Newcastle utd. Nayo Liverpool itapepetana na Bournemouth huku Southampton ikikwaana na Sheffield utd.

RAIS WA ZAMBIA AFARIKI DUNIA

 RAIS WA ZAMBIA AFARIKI DUNIA
Serikali ya Zambia imesema Rais wa nchi hiyo Michael Sata amefariki dunia wakati akiendelea kupatiwa matibabu kwa maradhi ambayo hayakutajwa.
Rais Sata, 77, alifariki katika hospitali ya King Edward VII jijini London, Uingereza Jumanne usiku.
Vyombo vya habari vimesema alifariki baada ya "mapigo ya moyo kwenda kasi ghafla".
Haijafahamika mara moja nani atachukua nafasi yake ya urais. Suala hilo huenda likajadiliwa na baraza la mawaziri la Zambia litakalokutana Jumatano asubuhi.
"Kwa moyo mzito natangaza kifo cha rais wetu mpendwa," imesema taarifa ya waziri Roland Msiska iliyosomwa kwenye TV ya taifa.
"Nawaomba muwe watulivu, muungane kwa amani katika kipindi hiki kigumu," ameongeza kusema Bwana Msiska.
Mapema mwezi huu taarifa nchini Zambia zilisema Rais Sata alikuwa amekwenda nje ya nchi kwa matibabu, huku kukiwa na tetesi kuwa alikuwa taabani.
Baada ya kuondoka nchini humo, waziri wa ulinzi Edgar Lungu alitajwa kukaimu urais.
Makamu wa rais Guy Scott mara nyingi hukaimu urais. Hata hivyo ana asili ya Scotland na wazazi wake hawakuzaliwa Zambia, hivyo hatoweza kuchukua urais kutokana na vipengele ndani ya katiba.
Akijulikana kama "King Cobra" kutokana na matamshi yake makali, Bwana Sata alichaguliwa kuwa rais wa Zambia mwaka 2011.

Serikali ya Zambia imesema Rais wa nchi hiyo Michael Sata amefariki dunia wakati akiendelea kupatiwa matibabu kwa maradhi ambayo hayakutajwa.
Rais Sata, 77, alifariki katika hospitali ya King Edward VII jijini London, Uingereza Jumanne usiku.
Vyombo vya habari vimesema alifariki baada ya "mapigo ya moyo kwenda kasi ghafla".
Haijafahamika mara moja nani atachukua nafasi yake ya urais. Suala hilo huenda likajadiliwa na baraza la mawaziri la Zambia litakalokutana Jumatano asubuhi.
"Kwa moyo mzito natangaza kifo cha rais wetu mpendwa," imesema taarifa ya waziri Roland Msiska iliyosomwa kwenye TV ya taifa.
"Nawaomba muwe watulivu, muungane kwa amani katika kipindi hiki kigumu," ameongeza kusema Bwana Msiska.
Mapema mwezi huu taarifa nchini Zambia zilisema Rais Sata alikuwa amekwenda nje ya nchi kwa matibabu, huku kukiwa na tetesi kuwa alikuwa taabani.
Baada ya kuondoka nchini humo, waziri wa ulinzi Edgar Lungu alitajwa kukaimu urais.
Makamu wa rais Guy Scott mara nyingi hukaimu urais. Hata hivyo ana asili ya Scotland na wazazi wake hawakuzaliwa Zambia, hivyo hatoweza kuchukua urais kutokana na vipengele ndani ya katiba.
Akijulikana kama "King Cobra" kutokana na matamshi yake makali, Bwana Sata alichaguliwa kuwa rais wa Zambia mwaka 2011.

Muigizaji Mzee Manento amefariki dunia





MSIBA : Muigizaji Mzee Manento amefariki dunia.
Habari zilizotufukia hivi punde zinasema kuwa muigizaji Mzee Manento amefariki dunia hapo jana. Bado tunafuatilia kwa karibu habari hizi nz chanzo ch kifo cha mzee wetu huyu.
Mzee Mnento atakumbukwa hasa kwa filamu alizocheza kiumakin na marehemu Kanumba. Hero of the church, Dar to lagos,fake pastor n.k pumzika kwa Amani
Mungu ailaze Roho ya maerehemu mahali pema peponi amina.

CHIDI BENZ AVAA MLEGEZO KIZIMBANI.

 
Rapper Chidi benz aliypandishwa kizimbani siku ya jumanne kwa shtaka la kukamatwa na madawa ya kulevya...
Amepandishwa tena kizimbani leo ambapo alirudishwa nje na Jaji akavae vizuri suruali aliyokuwa ameiweka mlegezo na kurudishwa tena rumande hadi novemba 11 atakapopandishwa tena kizimbani.
Baada ya hapo anaweza kuwa na haki ya kupewa dhamana ya shillingi millioni moja na kuwapeleka wadhamini wawili.

Saturday 25 October 2014

WANAFUNZI WAADABISHWA KIJESHI KWA KOSA LA KUFANYA FUJO NA KUCHOMA SHULE YAO.

Kamishna wa Elimu nchini ameifunga kwa mwezi mmoja shule ya sekondari Njombe (NJOSS) baada ya wanafunzi wa shule hiyo kufanya fujo na kuchoma moto shule yao pamoja na shule ya msingi iliyojirani ya shule yao.

Chanzo cha vurugu hizo ni kitendo cha Bodi ya Shule hiyo kuwasimamisha shule wanafunzi wenzao ambao walihusika na kosa la kutoroka shule na kwenda ukumbi wa disko kwenye chuo cha Elimu ya Ufundi kilichojirani na shule hiyo.

Katika kupinga uamuzi huo a wenzao kusimamishwa ndipo wanafunzi hao walifanya fujo na kuchoma moto shule yao na ya msingi iliyojirani. Hasara inakadiriwa kufikia Tsh 100 milioni.

Diego Costa hatihati.


Diego Costa huenda akacheza katika mechi ya
Ligi Kuu ya England dhidi ya Manchester United
licha ya kuugua na kulazimika kupelekwa
hospitali.

Mchezaji huyo wa kimataifa wa Spain,
26, amekuwa akipata nafuu akiwa nyumbani na
kutakiwa kufanya mazoezi peke yake kutokana
na ugonjwa huo. Hata hivyo kwa mujibu wa
meneja Jose Mourinho, mshambuliaji huyo ana
uwezekano wa kucheza Old Trafford siku ya
Jumapili. "kila kitu kimemtokea," amesema
Mourinho. "Lakini ana nafasi ndogo ya kucheza.
Tunajaribu." Huku Loic Remy akiwa majeruhi
kutokana na jeraha la nyonga, Chelsea watahitaji
sana kuwa na Costa aliyenunuliwa kwa pauni
milioni 32.

VAN GAAL :MOURINHO AMEJIJENGA MWENYEWE


Meneja wa Manchester United Louis van Gaal
amesisitiza kuwa hajafanya lolote kubwa
kusababisha Jose Mourinho kuwa moja ya
makocha wenye mafanikio duniani.
Mourinho, ambaye ni meneja wa Chelsea kwa
sasa, alifanya kazi chini ya Van Gaal akiwa
Barcelona, na huwa anasema Van Gaal na Bobby
Robson ndio wamempa mafanikio.
"Huwa ananitaja mimi na Bobby Robson, na
ninakubali hilo, lakini mambo haya unayafanya
mwenyewe," amesema Van Gaal.
Wawili hao walikutana kwa mara ya kwanza
miaka 17 iliyopita wakati van Gaal alipompa kazi
Mourinho, wakati huo akiwa na miaka 34, kama
mmoja wa makocha wake Nou Camp.
Manchester United inayoongozwa na Louis van
Gaal, inapambana na Chelsea siku ya Jumapili.

Friday 24 October 2014

Taarifa kamili kuhusu Chid Benz kukamatwa na madawa ya kulevya uwanja wa Ndege

Kuna taarifa zilitoka BantuTz.com leo
jioni kuhusu msanii wa muziki wa kizazi kipya
Chidi Benz kukamatwa na dawa za kulevya
katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa
Julius Nyerere Dar es Salaam akiwa anaelekea
Mbeya kwenye show ya Instagram Party
ambayo inatarajiwa kufanyika kesho.
BantuTz.com iliahidi kuzifatilia hizi taarifa
kwa Polisi ili kupata uthibitisho ambapo
imefahamika ni kweli msanii huyu
amekamatwa leo mchana akiwa katika
sehemu ya kuondokea uwanjani hapo
ambapo baada ya alifanyiwa upekuzi na
kubainika amebeba dawa hizo ambapo ni
kete 14 za dawa za kulevya kwenye mfuko wa
shati lake na misokoto miwili ya bangi.
Kwenye mahojiano
kamishna msaidizi wa Polisi (ACP) Hamisi
Selemani ambae ni kamanda wa polisi katika
viwanja vya ndege Tanzania amethibitisha
kukamatwa kwa Chidi Benz na kusema msanii
huyu alipohojiwa amekiri kweli kuwa dawa
hizo ni zake.
Amesema ‘Alikuja Airport kwa ajili ya safari
kwenda Mbeya, kete hizo 14 za dawa za
kulevya zilikua zimefungwafungwa na nailoni
na pia amekutwa na vifaa vingine
vinavyohusiana na watu wanaotumia dawa za
kulevya, kuna kigae na kijiko na yeye
mwenyewe anakiri ni vitu vyake huwa
anatumia ila anashangaa ni kwa nini
vimeweza kubaki kwenye mfuko, tutamfikisha
Mahakamani baada ya kuweza kubaini ni
dawa aina gani za kulevya’

Endelea kutembelea www.bantutz.com kufahamu kila kitakachokuwa kinajiri.

Thursday 23 October 2014

Baraza la Sanaa (BASATA) kumvua taji miss Tanzania 2014 kwa udanganyifu juu ya umri wake


Sakata la lililojitokeza la mrembo
wa Taifa wa mwaka huu 'Redd's Miss
Tanzania 2014', Sitti Mtemvu
kudaiwa kudanganya umri, limeingia
katika sura mpya baada ya Baraza la
Sanaa Tanzania (Basata) kueleza
kuwa litamvua taji hilo endapo
itabainika kweli alichakachua umri
wake.
Katibu Mkuu wa Basata, Geoffrey
Mwingereza, aliliambia NIPASHE jana
kuwa baraza hilo linasubiri
uchunguzi ukamilike na endapo
watabaini kuna udanganyifu
ulifanyika hawatakuwa na la kufanya
zaidi ya kumvua taji.
Wakati Mwingereza akieleza hayo,
viongozi wa Wizara ya Habari,
Vijana, Utamaduni na Michezo
wanatarajia kukutana leo jijini Dar
es Salaam kwa ajili ya kujadili
sakata hilo la Sitti.
Akizungumza na NIPASHE jana, Naibu
Waziri wa Wizara ya Habari, Vijana,
Utamaduni na Michezo, Juma Nkamia,
alisema serikali imesikia taarifa
za mkanganyiko kuhusiana na mrembo
huyo hivyo imeamua kuitisha kikao
ili kuanza kulifanyia kazi.
Nkamia alisema kamwe serikali
haiwezi kukaa kimya pale ambapo
jina la nchi linatajwa vibaya.
"Siwezi kukuambia hatua gani
zitachukuliwa, ila kesho (leo)
tutakuwa na kikao, serikali haiwezi
kukaa kimya, kuna vyombo vyake
vinalifanyia kazi," alisema Naibu
Waziri huyo.
Aliongeza kuwa yeye alikuwa nje ya
Dar es Salaam, lakini tayari kuna
maelekezo aliyoyatoa na yameanza
kufanyiwa kazi na wizara hiyo.
Siku moja baada ya Sitti kutangazwa
mshindi wa taji hilo, taarifa za
mrembo huyo kuhusu umri wake
zilianza kusambaa kwenye mitandao
ya kijamii zikionyesha kuwa ana
miaka 25, hivyo hana sifa za
kushiriki shindano hilo hapa
nchini.
Nakala ya hati ya kusafiria ya
mrembo huyo ambayo ilitolewa
Februari 15, 2007 na muda wake wa
kumaliza kutumika ukiwa ni Februari
14, 2017 yenye namba AB 202696
inaonesha Sitti ambaye pia
anashikilia taji la Kitongoji cha
Chang'ombe na Kanda ya Temeke,
alizaliwa Mei 31, 1989.Pia taarifa
nyingine zinazoone sha mrembo huyo
ana miaka 25 ni zilizokuwa kwenye
Taasisi ya Explore Talent, ikimtaja
kwamba anaishi Dallas, Texas, urefu
wake ni 5'8, umbo lake ni la kati,
asili yake ni Mwafrika na rangi ya
macho yake ni kahawia.
Juzi, Kamati ya Miss Tanzania
iliyoko chini ya Mratibu wa
shindano hilo, Hashim Lundenga,
ilisema kuwa Sitti amezaliwa Mei
31, 1991 katika wilaya ya Temeke
jijini kwa mujibu wa cheti chake
cha kuzaliwa alichokionesha.
Lundenga alionesha cheti cha
kuzaliwa cha Sitti ambacho
kimetolewa na Wakala wa Usajili,
Ufilisi na Udhamini (RITA) Septemba
9, mwaka huu kikiwa na namba
1000580309 na kikimtaja baba yake
ni Abbas Mtemvu Zuberi (Mbunge-
Temeke) wakati mama ni Mariam
Nassor Juma (Diwani- Temeke).
Hata hivyo, Lundenga alisema kuwa
kamati yake inaendelea na uchunguzi
kuhusiana na taarifa hizo na endapo
watabaini kuwepo na udanganyifu
watamchukulia hatua mrembo huyo kwa
kushirikiana na Basata.
Pia Lundenga na Sitti, walikanusha
taarifa za mrembo kuwa kuwa na
mtoto na kusema kwamba mwenye
uthibitisho wa jambo hilo anatakiwa
aliwasilishe kwa kamati ili hatua
zichukuliwe.
Sitti aliibuka kidedea katika
shindano la urembo la taifa
lililofanyika usiku wa Jumamosi ya
Oktoba 11 kwenye Ukumbi wa Mlimani
City jijini na kuwashinda washiriki
wenzake 29 waliokuwa wanawania taji
hilo.
CHANZO: NIPASHE

Tuesday 21 October 2014

Manchester United yabanwa mbavu Ligi Kuu Uingereza.

 

Ligi kuu ya England imeendelea jana usiku ambapo Manchester United ilijikuta ikibanwa mbavu na kushindwa kufurukuta ugenini kwa West Bromwich Albion na kutoka sare ya mabao 2-2 licha kwamba ilitawala mchezo huo.

Mchezo huo wa pekee kwa ratiba ya ligi hiyo ulishuhudiwa Man United ikishindwa kupata walau ushindi wake wa kwanza nje ya uwanja wake wa nyumbani tangu timu hiyo iwe chini ya kocha Louis Van Gaal.

Ni bao la Daley Blind katika dakika za mwisho za mchezo ambalo limeiokoa Manchester United kuzama katika mpambano huo. 

Awali Stephane Sessegnon wa Westbrom aliitungua United kwa bao la mapema kabla ya Marouane Fellaini aliyeingia kipindi cha pili kusawazisha muda mfupi tu baada ya kuingia uwanjani.
Mshambuliaji kijana Saido Berahino aliipatia Westbrom goli la pili ambalo lilidumu hadi pale Blind aliposawazisha na kuinusuru United na kichapo katika mtanange huo uliochezeshwa na mwamuzi Mike Dean.

Oscar Pistorius jela Miaka 5

 

Pistorius alipatikana na hatia ya kumuua mpenzi wake bila kukusudia

Mwanariadha wa Afrika Kusini Oscar Pistorius amehukumiwa jela miaka 5 baada ya kupatikana na hatia ya kumuua mpenziwe Reeva Steenkamp.
Hii ni baada ya mwanariadha huyo mlemavu kupatikana na hatia ya mauaji bila ya kukusudia.

Jaji aliyetoa hukumu hiyo,Thokozile Masipa,alianza kutoa kauli yake ya mwisho kabla ya kutoa hukumu saa mbili na nusu asubuhi na akasema ni changamoto kubwa kwake kupata adhabu ambayo itaridhisha pande zote kwenye kesi hiyo.

Upande wa mashitaka ulitaka mwanariadha huyo kupewa kifungo cha miaka 10 gerezani baada ya kupatikana na makosa ya kuua bila kukusudia.
Pistorius alisema kuwa alifyatua risasi baada ya kudhani kuwa jambazi alikuwa amevamia nyumba yake.
Upande wa mashitaka ulisisitiza Pistorius afungwe jela wakati wakili wa Pistorius wakimtaka jaji ampe kifungo cha nyumbani cha miaka mitatu na pia apewe usaidizi na ushauri wa kubadili tabia yake.
Jaji alisema kuwa Pistorius asingepewa adhabu ya kifungo cha nyumbani kwani hukumu kama hiyo ingekuwa hatua mbaya na mfano mbaya kwa wahalifu

Msanii Y.P wa kundi la TMK Wanaume Family afariki dunia.

MENEJA wa kundi la TMK Wanaume Family aliye pia
mkurugenzi wa MKubwa na Wanae, Said Fella
'Mkubwa' amethibitisha kuwa msanii YP amefariki
dunia usiku wa kumakia leo.
Akizungumza na BantuTz  hivi punde kwa njia ya simu, Fella
alisema YP amefariki akiwa katika Hospitali ya Temeke na siyo nyumbani kwao kama taarifa za
awali zilizokuwa zimetufikia na kwamba alikuwa
akisumbuliwa na maradhi ya Kifua.
'Ni kweli YP amefariki akiwa Temeke Hospitali
alikokuwa amelazwa kwa siku kadhaa, alikuwa
akisumbuliwa na Kifua, kwa kweli ni pigo kwetu na tasnia nzima ya muziki kwani ni hivi karibuni
tumetoka kumpoteza pia Side Mnyamwezi,"
alisema Fella mmoja wa wadu wa muziki
waliosaidia kukuza muziki wa kizazi kipya kwa
kuibua vipaji kila uchao.
Fella alisema kwa sasa wanasubiri kuwasiliana na ndugu na familia ya marehemu YP kwa ajili ya
kujua mazishi yake yatafanyika lini na wapi, japo
alisema huenda akazikwa leo pande za TMK.
Mwenyezi Mungu Ailaze Roho ya Marehemu Mahali
Pema Peponi.

Wednesday 15 October 2014

Uthibitisho kuhusu nyimbo mpya ya Ali Kiba 'aliyomchana' Diamond


 
Baada ya kutokuwepo kwa maelewano huku vyombo mbalimbali vya habari nchini vikiripoti bifu/ugomvi unaoendelea kati ya nyota wawili wanaotamba katika mziki wa bongo fleva nchini;Diamond na Ali Kiba.Leo hii BantuTz imekuchambulia kwa undani zaidi nyimbo iliyotolewa hivi karibuni ya Ali Kiba-Mwana ambayo inasemekana alimuimba Diamond.

Hebu ongozana na nami katika uchambuzi wa nyimbo hiyo na kisha acha comment yako chini kabisa.

Tuanze kuuchambua wimbo huo.................................
"Mali ni nyingi nyumbani, kipi kimekukimbiza"
Hapa Alikiba, anamwambia Diamond, nyumbani (SHAROBARO RECORDS) kuna kila kitu, 'beats' kali, Utawala 'Management' nzuri na kila kitu, kitu gani kilimkimbiza SHAROBARO RECORDS?

"Ona babio mamio wote wanakulilia"
 Hapa Ali Kiba anamaanisha kwamba SHAROBARO RECORDS ikiongozwa na Bob Junior pamoja na yeye {Ali Kiba} wote kwa pamoja wanamlalamikia Diamond kwa kitendo chake cha kukimbia kufanya kazi zake katika studio ya SHAROBARO RECORDS  (BOB JUNIOR ALIPIGA KELELE SANA DIAMOND ALIPOKIMBIA SHAROBARO RECORDS )

"Mtoto pekee ako nyumbani, kipi kimekukimbiza" 
Hapa Ali Kiba anamaanisha kwamba Diamond alikuwa ndiye msanii pekee mkalo aliyekuwa chini ya Sharobaro Records.Hakukuwa na upinzani wowote ndani ya Sharorobaro Records kitu gani kilimfanya aondoke ?

"Ona babio mamio wote wanakulilia Ndani ya Dar es salame ulikuja bure"
 Hapa Ali Kiba anamkubusha Diamond kuwa siku alipokwenda Sharobaro Records kwa mara ya kwanza hakutozwa hata senti tano na alirekodiwa wimbo wake buree kabisa.Neno "dar es salame" Ali Kiba amelitumia kumaanisha Sharobaro Records.


Mdau wa BantuTz kama ulikuwa haujui,Ali kiba ni moja kati ya Wamiliki wa Sharo baro Records,kwani ana hisa kubwa kati yake yeye na Bob Junior.Na Ali Kiba mdiye alitoa idhini kwa Bob Junior kumruhusu Diamond arekodi bure wimbo wake.Nikuweke sawa mdau wa BantuTz,ilikuwa hivi........Diamond alienda kwa Bob Junior na kumwambia ana wimbo wake anaomba urekodiwe lakini hana uwezo wa kifedha.Bob Junior akamuomba kumsikiliza,alipomsikiliza akagundua Dimaond anakipaji,lakini Bob Junior hakuwa na mamlaka ya kuurekodi wimbo huo bure bila idhini ya mkubwa "BOSI" wake {Ali Kiba} ikabidi Bob Junior aende kwanza kuomba idhini kwa Ali Kiba.Ali Kiba akamwambia Bob Junior kama anajua kuimba vizuri amrekodi.Ali Kiba alimwambia Bob Junior hiki "Kama dogo anajua kuimba vizuri,mrekodi tu hakuna shida"

Ali Kiba aliyasema haya kipindi anafanya mahojiano katika kipindi cha mkasi hivi karibuni
Unaweza kuangalia mahojiano hayo ya Ali Kiba katika kipindi cha MKASI TV hapa MKASI TV-ALI KIBA
  

"Tena kimwana, kimwana hujui kuchuna"  
 Wakati Diamond anaenda kuomba kurekodi kwa Bob Junior alikuwa tayari kufanya 'show' zake bure ilimradi tu aweze kujitangaza.
Diamond aliwahi kumuomba Ali Kiba apande naye kwenye 'Show' yake bila malipo yoyote ili watu wamuone akiwa na Ali Kiba
Hivyo basi Ali Kiba ametumia maneno  haya katika wombo wake 
"Kimwana asiyejua kuchuna" masanii mchanga 'Underground' aliyetayari kuimba hata bila malipo.

"Na zile lawama za wale walokuzoeza"
 Hapa Ali Kiba alnazungumzia lawama za wasichana mbalimbali wanaotoswa na Diamond.

"Ulikuja jana na leo tofauti sana"
 Hapa Ali Kiba anazungumzia namna ambavyo Diamond alivyobadilika kitabia baada ya kupata mafanikio kimuziki

"Tena bora Yule wa jana, wa leo tofauti sana"
 Hapa Ali Kiba anawazungumzia Wema Sepetu na Penny,anasema bora hata Penny kuliko Wema Sepetu ambayo yupo na Diamond hivi sasa
  
"Dakika mbili mbele nyuma, kichwa kinauma"
Ali Kiba anazumgumzia tabia za Wema Sepetu.Mkorofi {dakika mbili mbele nyuma}na Mwingi wa habari ama pasua kichwa {Kichwa kinauma}

"Tena bora Yule wa jana, wa jana leo wa jana" 
 Hapa Ali Kiba anasisitiza anachokimaanisha kwamba kuhusiana na sakata zima la Wema Sepetu.

” tena bora yule wa jana, wa jana leo wa jana ” 
Ali Kiba anamaanisha Wema Sepetu ambaye yuko nae leo na yule aliwahi kuwa nae zamani. 

"Ni wa jana,Upo nae leo,Lakini uliwahi kuwa nae jana"
Huyo ni Wema Sepeyu,aliyewahi kuwa na Diamond wakaachana,wamerudians tena {'Wajana Leo Wa Jana=Wema Sepetu}
 
"Dakika mbili mbele nyuma, kichwa kinauma"
 Hapa Ali Kiba anakuletea ufafanuzi zaidi kwamba huyu "Wa jana leo wa Jana" si mwingine bali ni Wema Sepetu.
Anaimba hivyo kwa kukuelezea tabia ya Wema Sepetu ambayo ni 'ukorofi' 'Dakika mbili mbele nyuma'
Mdau wa BantuTZ kama umesahau ngoja nikukumbushe,Wema Sepetu aliwahi kumtukana Bob Junior matusi ya 'Nguon',kesi inayoendelea mahakamani hadi hivi sasa.

"Oyayee Oyayee, mbona unawatesa sana"
Hapa Ali Kiba anamwambia Diamond mbona anawatesa sana hao wasichana anaowabadilisha badilisha

"Omamee, omame oya mame, omame oya mameeMbona unajitesa sana"
Hapa Ali Kiba anamuonya kuhusu hao wasichana anaowatesa kwani ni sawa na kujitesa yeye mwenyewe.Kwani inampelekea ashindwe kujua mpende nani katika maisha yale kwa sababu wanawake karibu wote anaotoka nao wanakuwa na kasoro zisizo vumilika.

"Omamee, oya mame, omame oya mamee Ukaanza kulewa , madawa kuvuta kwa sana."
Hapa Ali Kiba anadhibitisha namna ambavyo hali ya kuwatesa na kuwachanganya wanawake inamrudia Diamond mwenyewe na baada ya kuumizwa na wanawale akaona hakuna njia nyingine ya kupamba na maumivu ya kuumizwa na mwanamke zaidi ya kulewa.
Ikumbukwe kamba Diamond alitoa wimbo uitwao "NATAKA KULEWA" ambao ulikuwa unaelezea kisa cha kweli kilichomkuta Diamond
  
"Ndani ya Dar Es salaam, mambo matamu hayakukwisha hamu"
 Hapa Ali Kiba anaelezea namna ambavyo Diamond hajaishiwa na hamau ya kutembea na wanawake/wasichana ambao anawapata baada ya yeye kuwa maarufu kupitia Muziki.

"We bado mtoto wa mama hujayajua mengi"
 Hapa Ali Kiba anaua ndege wawili kwa jiwe moja;kwanza anatoa ufafanuzi wa mtu anaye mzungumzia .Ali Kiba anataka ujue anamzungumzia Diamond na sio mtu mwingine yoyote yule.

"We bado mtoto wa mama"  
 Hapa Ali Kiba anamaanisha Diamond ni mtoto wa Mama,yupo karibu zaidi na mama yake na hawana mawasiliano mazuri na Baba yake.

USIKILIZE HAPA WIMBO HUO WA ALI KIBA:ALI KIBA-MWANA

Endelea kutembelea www.bantutz.com tutakuwa tunakuibulia mambo mbalimbali magumu na usiyoyajua.Hivi karibuni tunafungua mtandao wa kijamii mkubwa na wa kisasa zaidi.Tutaleta mapinduzi ambayo hayajawahi kufanyika www.bantuz.com-Bantuz

Imeandaliwa na.....
                               Katemi 'Mugisha' Methsela
                        Facebook-Katemi Mugisha Methsela
                               Twittwer-@katemipeter
                             Instagram-#katemimethsela
                             WhatsApp +255785442107

Tuesday 14 October 2014

Makamu wa kwanza wa Rais Maalim Seif Sharif Hamad Zanzibar,aipinga Rasimu ya Katiba

 " Wananchi , katiba haikubaliki kwa Wazanzibar, mimi mwenzenu siikubali sijui nyinyi wenzangu, katiba hii haina maslahi kwa Wananchi wa Zanzibar na hatuitaki". Maneno hayo amesema Katibu mkuu wa CUF ambaye pia ni Makamu wa Rais wa kwanza wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad

Nini maoni yako katika hilo?
Songombingo la Rasimu ya katiba bbado linaendelea Zanzibar,baada ya aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kufukuzwa kazi na Rais wa Zanzibar,Mohamed Shein hivi sasa Makamu wa Kwanza wa Rais
Maalim Seif Sharif Hamad naye ameipinga rsimu hiyo.

Makamu wa Kwanza wa Rais Maalim Seif Sharif Hamad amesema hiki...... 
" Wananchi , katiba haikubaliki kwa Wazanzibar, mimi mwenzenu siikubali sijui nyinyi wenzangu, katiba hii haina maslahi kwa Wananchi wa Zanzibar na hatuitaki".

 Maneno hayo amesema Katibu mkuu wa CUF ambaye pia ni Makamu wa Rais wa kwanza wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad

Nini maoni yako katika hilo?

"SIKU YA WANAFIKI KUMDHIHAKI BABA WA TAIFA Mwl J.K NYERERE"



Leo ni siku ya wanafiki kumdhihaki Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere,ni siku ya wanafiki kuwadhihaki watanzania.Njia pekee ya Kumuenzi Mwalimu ni kuyaishi matendo yale mema aliyolitendea taifa hili.
Leo mafisadi ndio wanaotunga na kuandika sheria mama ya nchi(Katiba) na kupuuza maoni ya wananchi.Haitakubalika hata kidogo.


Leo mafisadi na watawala waliovimbiwa makombo mezani pa mafisadi ndio wanaoimba nyimbo za sifa na tenzi laini kuwa wanamuenzi baba wa Taifa.

Leo hii wazalendo wanaopigania raslimali za taifa hili wanaonekana maadui na taifa linakubali na kuwaacha wapweke.


 
Leo hii akina David Kafulila wanaitwa Tumbili na mawakala wa ufisadi waliovishwa vilemba na majoho ya kitaaluma na kiutawala eti kwa kuwa wamewaanika mabwana zao.Sisi vijana tumekaa kimya .
 
Tumeona wasomi na wanaharakati na hata baadhi ya wanahabari wakizibwa midomo .Mafisadi kwa kushirikiana na watawala wameamua kutumia mahakama kutisha wazalendo.

Serikali imewekwa mifukoni mwa mafisadi.

Taifa linadhalilishwa sisi tukiwa kimya huku tukimdhihaki baba wa taifa aliyechukua hatua kali dhidi ya fisadi wa kigiriki aliyedai kuwa ameiweka serikali yake mfukoni mwake.

Kitendo cha Mwalimu Nyerere kumkamata na kumuweka gerezani ni kinyume kabisa na hali ya sasa ambayo wanaotamba kuiweka serikali mfukoni wanathibitisha kwa kutumia mahakama kutishia wazalendo huku wakisaidiwa na watawala .


Matusi ya Mwanasheria Mkuu na pia katibu Mkuu wa Wizara Eliakim Maswi ni dhihaka na uthibitisho wa serikali kuwekwa mfukoni.

Sasa kwa kulinda hadhi na heshima ya taifa hili,kwa kulinda raslimali za nchi hii zinazotumika na wachache huku mamilioni ya watanzania wakikosa huduma muhimu kama ajira,elimu huku vifo vya akina mama na watoto vikishamiri.Watanzania wenzetu hawa wanavumilia kuwa watanzania wakati watawala na mafisadi wakijivunia kuwaibia watanzania.Sasa tumeamua kumuenzi Mwalimu Nyerere kwa kuchukua hatua .Kesi aliyofunguliwa Kijana David Kafulila ni kesi ya vitisho yenye lengo la kuhalalisha ufisadi na uporaji wa raslimali za nchi hii .Hatutakubali.


Nitaratibu kuhakikisha wale wote wenye misimamo mikali ambao wako tayari kuunganishwa kwenye kesi hii tunaungana na Kafulila na wanaharakati wengine zaidi ya 100 walioomba kuunganishwa kwenye kesi hii hadi sasa .Kesi ilifunguliwa na IPTL baada ya Kafulila kuibua kashfa ya wizi wa Sh.Billioni 200 kutoka Akaunti ya Escrow .


Ana nyaraka zote muhimu na amenihakikishia kuwa atatoa ushirikiano wote.Ni lazima tuwe na "solidarity" katika kuchukua hatua hizi za kiuanamapinduzi.Hizi ni harakati za kuiondoa serikali mfukoni mwa mafisadi.

Taifa haliwezi kudhalilishwa huku vijana ,akina mama na wazee ,wasomi ,wakulima,wafanyabiashara waadilifu wanaonyanyaswa kila siku kulipa kodi hata kwa dhuluma wakiendelea kukaa kimya.Kama upo tayari kuingia katika mapambano haya tafadhali nitumie Majina yako kamili na sehemu unayoishi haraka kupitia namba 0768078523.Hatuingilii uhuru wa mahakama bali tunataka kuingia mahakamani .

Tukishakamilisha Zoezi hili tutafuata hatua nyingine itakayotoa fundisho kwa utawala huu.

Rais Kikwete na Serikali yake wajiandae sasa.Wanajihesabia wamebakiza mwaka 1 kumaliza awamu yao madarakani lakini huo Mwaka Mmoja unaweza usitimie wakafika ukingoni siku za karibuni.Demokrasia inaruhusu,sio haramu 



Jana BantuTz waliripoti taarifa hii...........
"Kundi la wafadhili 12 wa kimataifa limechelewesha msaada wao katika bajeti ya Tanzania hadi matokeo ya uchunguzi juu ya madai ya rushwa katika sekta ya nishati yatolewe, na hatua stahiki zichukuliwe."

Tutajiandaa na kukutana kwenye Ukumbi maalumu weekend hii kwa ajili ya kujipanga kikamilifu katika vita hii.

Tumeanzisha kampeni "Bring back our Money" au "Rudisha Pesa Zetu"

Tutachukua hatua kali ya kihistoria .

It's a National Salvation Movement.We shall fight bravely against Lootocracy(Looting) .

Tumuenzi Mwalimu Nyerere kwa kuiondoa Serikali yenye Amri Jeshi Mkuu mifukoni mwa mafisadi.

Aluta Continua,Victory Ascerta.....

"Pumzika Kwa Amani Mwl.J.K Nyerere.Mungu Ibariki Tanzania,Mungu Ibariki Afrika"  


Imeandaliwa na.........
                                  Ben Saanane
                                  @ Ben saa8

Monday 13 October 2014

"Nyuma Ya Pazia" kuzama kwa Meli ya Titanic-Sehemu-Full Article

 Photo: UKWELI KUHUSU TITANIC---- Sehemu ya 1

"Kama ilivyo punje moja ya mchanga mbele ya fukwe za bahari kuu za dunia, ndivyo ulivyo ufahamu wetu mbele ya tusiyoyajua duniani na ulimwenguni na mbele ya yale tunayodhani kuwa tunayajua". 
jambo la kweli kuhusu uhalisi umekuwa ukifichwa mno kwani ukweli una tabia ya kuuma. Na badala yake binadamu wamekuwa wakipenda uongo mtamu uliokolezwa asali kiasi cha kuaminika kama kweli lakini kumbe ni uongo. Hata hivyo tukubaliane kimsingi kuwa kuamini uongo ni kuruhusu fikra zilizo huru kupumbazika na kuvaa ujinga katika imani.
Yapo matukio kadhaa yaliyowahi kutokea hapa duniani na kuwaacha binadamu kwa mshangao, kwa machungu au kwa raha, lakini kutokana na hulka yetu ya kuamini uongo mtamu tumejikuta tukiamini uongo kuhusu matukio hayo badala ya ukweli wenyewe.

Tatizo letu binadamu tulio wengi ni uvivu wa kutokutaka kusaka ukweli na badala yake kwa uvivu tu tunabaki kusadiki uongo ambao unalenga kuficha ukweli. Huo ni upumbavu na kujiruhusu kuwa juha. Kwa leo sitaki kuzungumzia ukweli kuhusu shambulio la WTC, nataka tuzungumzie kuzama kwa meli kubwa kuliko zote zilizowahi kutengenezwa na binadamu duniani, yani Titanic.

Hii ni meli ambayo iliaminiwa na waundaji wake kuwa kamwe haiwezi kuzama kutokana na uimara na usanifu uliotumika kuutengeneza kwa miaka mingi. Ndani ya Titanic kulikuwepo na mahitaji yote muhimu kwa maisha ya nyumbani. Uliweza kucheza soka ndani ya Titanic, uliweza kuogelea, kucheza disko, kununua bidhaa kutoka maduka mbali mbali ndani ya Titanic. Ungeweza kusoma ndani maktaba, baa, mahoteli ya kula na kulala, watu walioa na kuolewa ndani ya meli hii. Kifupi Titanic ilikuwa ni kijiji ndani ya bahari.
Lakini pamoja umaridadi wake, uimara wake, sifa zake, bado Titanic iliweza kuzamishwa ndani ya maji na majasusi!!! 

.........Majasusi Gani, kwa nini.........Fuatilia muendelezo!! kwa kweli nimeamua kuropoka ukweli mchungu!!

"Kama ilivyo 'punje' moja ya mchanga katika fukwe za bahari kuu za dunia, ndivyo ulivyo ufahamu wetu mdogo mbele ya mambo mbalimbali makubwa na mengi tusiyoyajua duniani na mbele ya yale tunayodhani kuwa tunayajua". 

Jambo la kweli kuhusu uhalisi umekuwa ukifichwa mno kwani ukweli una tabia ya kuuma. Na badala yake binadamu wamekuwa wakipenda uongo mtamu uliokolezwa asali kiasi cha kuaminika kama kweli lakini kumbe ni uongo. Hata hivyo tukubaliane kimsingi kuwa kuamini uongo ni kuruhusu fikra zilizo huru kupumbazika na kuvaa ujinga katika imani.


Yapo matukio kadhaa yaliyowahi kutokea hapa duniani na kuwaacha binadamu kwa mshangao, kwa machungu au kwa raha, lakini kutokana na hulka yetu ya kuamini uongo mtamu tumejikuta tukiamini uongo kuhusu matukio hayo badala ya ukweli wenyewe.

Tatizo letu binadamu tulio wengi ni wavivu wa kutokutaka kusaka ukweli na badala yake kwa uvivu tu tunabaki kusadiki uongo ambao unalenga kuficha ukweli. Huo ni upumbavu,ujinga na kujiruhusu kuwa Juha. Kwa leo sitaki kuzungumzia ukweli kuhusu shambulio la "World Trade Center" WTC huku wengi wakilifahamau kama tukio la Septemba 11, nataka tuzungumzie kuzama kwa meli kubwa kuliko zote zilizowahi kutengenezwa na binadamu duniani, yani Titanic.

  Titanic meli ambayo iliaminiwa na waundaji wake kuwa kamwe haiwezi kuzama kutokana na uimara na usanifu uliotumika kuutengeneza kwa miaka mingi. Ndani ya Titanic kulikuwepo na mahitaji yote muhimu kwa maisha ya nyumbani. Uliweza kucheza soka ndani ya Titanic, uliweza kuogelea, kucheza disko, kununua bidhaa kutoka maduka mbali mbali ndani ya Titanic. Ungeweza kusoma ndani maktaba, baa, mahoteli ya kula na kulala, watu walioa na kuolewa ndani ya meli hii. Kifupi Titanic ilikuwa ni kijiji ndani ya bahari.
Lakini pamoja na umaridadi wake, uimara wake, sifa zake, bado Titanic iliweza kuzamishwa ndani ya maji na majasusi!!! 


Photo: UKWELI KUHUSU TITANIC----Sehemu ya 2

Kwa nini waliamua kuzamisha meli hii? Walifanyaje mipango yao kwa siri hadi isigundulike? Endelea kusoma maandiko haya.

Inajulikana kuwa mwanzoni mwa miaka ya 1830 Amerika bado ilikuwa haijawa na Benki Kuu wakati majasusi hawa wa Ki-Italiano maarufu kama Jesuits walihitaji benki nyingine Amerika ambayo wangetumia kuchota  fedha kwa ajili ya kufanikisha mipango yao ya vita na ajenda nyingine za siri duniani kote.

Mnamo mwaka 1910 karibu na pwani ya Georgia katika kisiwa cha Jekyll wanaume saba walikutana kwa lengo la kuanzisha benki hiyo ambayo ingeitwa Benki ya Akiba.
 Hapa ninawazungumzia Nelson Aldrich na Frank Vanderlip ambao waliwakilisha taasisi ya fedha ya tajiri Rockefeller; 
Henry Davison, Charles Norton na Benjamin Strong waliowakilisha kampuni ya J.P, wengine ni Morgan na Paul Warburg waliowakilisha benki ya Uropa ijulikanayo kama Rothschilds.
hawa jamaa walipania kweli kweli na kuna kitu walilenga, wakakaa chini na kuweka mikakati.... ITAENDELEA.Kwa nini waliamua kuzamisha meli hii? Walifanyaje mipango yao kwa siri hadi isigundulike? 

Inajulikana kuwa mwanzoni mwa miaka ya 1830 Amerika bado ilikuwa haijawa na Benki Kuu wakati majasusi hawa wa Ki-Italiano wakishirikiana na wengine kutoka Amerika maarufu kama Jesuits walihitaji benki nyingine Amerika ambayo wangetumia kuchota fedha kwa ajili ya kufanikisha mipango yao ya vita na ajenda nyingine za siri duniani kote.

Mnamo mwaka 1910 karibu na pwani ya Georgia katika kisiwa cha Jekyll wanaume saba walikutana kwa lengo la kuanzisha benki hiyo ambayo ingeitwa Benki ya Akiba.
Hapa ninawazungumzia Nelson Aldrich na Frank Vanderlip ambao waliwakilisha taasisi ya fedha ya tajiri Rockefeller;
Henry Davison, Charles Norton na Benjamin Strong waliowakilisha kampuni ya J.P, wengine ni Morgan na Paul Warburg waliowakilisha benki ya Uropa ijulikanayo kama Rothschilds.
Hawa jamaa walipania kweli kweli na kuna kitu walilenga, wakakaa chini na kuweka mikakati....


Nikuongezee maarifa ewe mpenzi wa "JICHO LANGU LA TATU" Rockerfeller hii ni familia ya kitajiri kubwa sana duniani ambayo inamuabudu shetani,ambayo hadi leo hii inawatu mashuhuri,leo hii sitajikita kuielezea familia hiyo lakini nitakuandalia makala kuhusiana na familia hiyo uweze kujua undani wa familia hiyo ya waabudu shetani.

 Photo: UKWELI KUHUSU KUZAMA KWA TITANIC-----Sehemu ya 3

Ujenzi wa meli ya Titanic ulianza mnamo mwaka 1909 katika karakana ya kutengeneza meli ya Belfast, mji mkuu wa Ireland Kaskazini ukiwa na waumini wengi wa Kiprotestanti ambao walikuwa ni maadui wakubwa wa Jesuits katika harakati Zao humu duniani.

Titanic iliundwa na kumilikiwa na kampuni ya kimataifa ya White Star Line ambayo licha ya Titanic pia ilikuwa na meli kubwa nchini Ujerumani pamoja na Uingereza.

Titanic iliundwa na watu mabilionea na maarufu ambao hawakujihusisha na uundwaji wa Benki ya Akiba na kwa jinsi hiyo J.P Morgan alilazimishwa na Jesuits kufadhili ujenzi wa meli hiyo kama maandalizi ya kaburi kwa ajili ya matajiri na watu hao mashuhuri ambao walikuwa wapinzani wa harakati za Jesuits. (The White Star Line-Ibid, uk.246)

Hii ilitokana na hofu kwa Jesuits kwamba watu hawa wangeweza kutumia umaarufu na utajiri wao kuzuia kuwepo kwa Benki ya Akiba. Na kwa kuwa hawa ni watu ambao walipenda starehe na kuponda raha, ni lazima wangependa kuishi ndani ya Titanic ambayo iliundwa maalumu kama kaburi lao bila kujua.

Matajiri, watu maarufu na wale wote ambao Jesuits walitaka wafe walialikwa kuingia ndani ya meli hii kubwa. Pamoja na watu hao maarufu, watu muhimu zaidi waliolengwa hasa ni matajiri watatu ambao ni Benjamin Guggeenhein, Isador Strauss pamoja na John Jacob Astor aliyeaminiwa kuwa tajiri namba moja duniani.

Hawa ni matajiri ambao fedha zao kwa pamoja kwa wakati huo ulikadiriwa kuwa dola za Kimarekani 500 milioni fedha ambayo kwa thamani ya sasa ni dola za Kimarekani 16 bilioni. 

Majasusi wa jesuits walifanikiwa kuwashawishi matajiri wale watatu hadi kuingia ndani ya paradiso inayoelea.
---ITAENDELEA.


 Ujenzi wa meli ya Titanic ulianza mnamo mwaka 1909 katika karakana ya kutengeneza meli ya Belfast, mji mkuu wa Ireland Kaskazini ukiwa na waumini wengi wa Kiprotestanti ambao walikuwa ni maadui wakubwa wa Jesuits katika harakati Zao humu duniani.

Titanic iliundwa na kumilikiwa na kampuni ya kimataifa ya White Star Line ambayo licha ya Titanic pia ilikuwa na meli kubwa nchini Ujerumani pamoja na Uingereza.

Titanic iliundwa na watu mabilionea na maarufu ambao hawakujihusisha na uundwaji wa Benki ya Akiba na kwa jinsi hiyo J.P Morgan alilazimishwa na Jesuits kufadhili ujenzi wa meli hiyo kama maandalizi ya kaburi kwa ajili ya matajiri na watu hao mashuhuri ambao walikuwa wapinzani wa harakati za Jesuits.Soma kitabu hiki uweze kuijua kiundani kampuni hiyo (The White Star Line-Ibid, uk.246)

Hii ilitokana na hofu kwa Jesuits kwamba watu hawa wangeweza kutumia umaarufu na utajiri wao kuzuia kuwepo kwa Benki ya Akiba. Na kwa kuwa hawa ni watu ambao walipenda starehe na kuponda raha, ni lazima wangependa kuishi ndani ya Titanic ambayo iliundwa maalumu kama kaburi lao bila kujua.

Matajiri, watu maarufu na wale wote ambao Jesuits walitaka wafe walialikwa kuingia ndani ya meli hii kubwa. Pamoja na watu hao maarufu, watu muhimu zaidi waliolengwa hasa ni matajiri watatu ambao ni Benjamin Guggeenhein, Isador Strauss pamoja na John Jacob Astor aliyeaminiwa kuwa tajiri namba moja duniani.

Hawa ni matajiri ambao fedha zao kwa pamoja kwa wakati huo ulikadiriwa kuwa dola za Kimarekani 500 milioni fedha ambayo kwa thamani ya sasa ni dola za Kimarekani 16 bilioni.

Majasusi wa jesuits walifanikiwa kuwashawishi matajiri wale watatu hadi kuingia ndani ya paradiso inayoelea.


SEHEMU YA PILI

Photo: UKWELI KUHUSU TITANIC---- Sehemu ya 1

"Kama ilivyo punje moja ya mchanga mbele ya fukwe za bahari kuu za dunia, ndivyo ulivyo ufahamu wetu mbele ya tusiyoyajua duniani na ulimwenguni na mbele ya yale tunayodhani kuwa tunayajua". 
jambo la kweli kuhusu uhalisi umekuwa ukifichwa mno kwani ukweli una tabia ya kuuma. Na badala yake binadamu wamekuwa wakipenda uongo mtamu uliokolezwa asali kiasi cha kuaminika kama kweli lakini kumbe ni uongo. Hata hivyo tukubaliane kimsingi kuwa kuamini uongo ni kuruhusu fikra zilizo huru kupumbazika na kuvaa ujinga katika imani.
Yapo matukio kadhaa yaliyowahi kutokea hapa duniani na kuwaacha binadamu kwa mshangao, kwa machungu au kwa raha, lakini kutokana na hulka yetu ya kuamini uongo mtamu tumejikuta tukiamini uongo kuhusu matukio hayo badala ya ukweli wenyewe.

Tatizo letu binadamu tulio wengi ni uvivu wa kutokutaka kusaka ukweli na badala yake kwa uvivu tu tunabaki kusadiki uongo ambao unalenga kuficha ukweli. Huo ni upumbavu na kujiruhusu kuwa juha. Kwa leo sitaki kuzungumzia ukweli kuhusu shambulio la WTC, nataka tuzungumzie kuzama kwa meli kubwa kuliko zote zilizowahi kutengenezwa na binadamu duniani, yani Titanic.

Hii ni meli ambayo iliaminiwa na waundaji wake kuwa kamwe haiwezi kuzama kutokana na uimara na usanifu uliotumika kuutengeneza kwa miaka mingi. Ndani ya Titanic kulikuwepo na mahitaji yote muhimu kwa maisha ya nyumbani. Uliweza kucheza soka ndani ya Titanic, uliweza kuogelea, kucheza disko, kununua bidhaa kutoka maduka mbali mbali ndani ya Titanic. Ungeweza kusoma ndani maktaba, baa, mahoteli ya kula na kulala, watu walioa na kuolewa ndani ya meli hii. Kifupi Titanic ilikuwa ni kijiji ndani ya bahari.
Lakini pamoja umaridadi wake, uimara wake, sifa zake, bado Titanic iliweza kuzamishwa ndani ya maji na majasusi!!! 

.........Majasusi Gani, kwa nini.........Fuatilia muendelezo!! kwa kweli nimeamua kuropoka ukweli mchungu!!
Naam matajiri wote walishaingia ndani ya Meli wakiongozwa na John Jacob Astor ambaye kama nilivyosema hapo awali huyu ndiye alikuwa bilionea namba 1 duniani kwa wakati huo,
Hakuna yeyote aliyejua kwamba Meli hii ya kifahari ilikuwa inageuzwa kaburi lao muda mfupi ujao,
Harufu ya damu ilinukia kwa kiila Jesuist aliyekuwa melini,hii inathibitishwa na Edward Smith ambaye alikuwa ni nahodha wa Titanic lakini akiwa ni Jesuit hodari.

Edward Smith amekuwa nahodha kwa miaka 26 akiwa na uzoefu wa kutosha na ruti za bahari ya Atlantiki. Amefanya kazi kwa miaka mingi akiwa ndani ya kampuni ya J.P. Morgan.

Hatimaye ilipofika tarehe 10 Aprili, 1912 Titanic iling'oa nanga chini ya nahodha Edward Smith kwa maelekezo ya mkuu wa shirika la Jesuits Francis Browne ambaye naye alikuwepo ndani ya paradiso hiyo inayoelea.

Mwandishi Eric J. Phelps katika kitabu chake, Vatican Assassin anasema; "Francis Browne aliingia ndani ya Titanic tayari akiwa na kurunzi na kamera ya kupiga picha watakaokufa hasa walengwa".

Si Edward Smith tu, lakini kila Jesuit huamini kwa kiapo kuwa amri ya mkuu wao ni amri kutoka kwa Mungu ambaye ni Bwana wa uhai na mauti. Kwa jinsi hiyo saa na dakika zilipowadia Edward Smith alipokea amri ya kutoka kwa wakuu " KIJANA ZAMISHA HIYO MELI HARAKA" 

 
Na ndipo Edward akaongeza kasi ya Meli kuelekea usawa ule aliolekezwa na wakuu, na wakati huo ndio Francis Browne alikuwa bize na kurunzi mkononi akiamini Camera yake ingepata picha za maiti nyingi za vibopa muda si mrefu....


 SEHEMU YA 3 (Mwisho)
 UKWELI KUHUSU KUZAMA KWA TITANIC---Sehemu ya 5.(Mwisho)

Kama nilivyosema hapo awali Francis Browne alikuwa bize na kurunzi mkononi akiamini Camera yake ingepata picha za maiti nyingi za vibopa,
 pia nahodha wa meli  Edward Smith alikuwa akikimbiza Meli kuelekea uelekeo tofauti akifuata maagizo ya wakuu(jesuits).
W.C.Brownlee katika kitabu Secret Instructions of the Jesuits, American and Foreign Christian Union uk.143 anaweka wazi kwa kusema; 
"Katika Jesuit, kuua watu wasio na hatia ni ruhusa, hivyo kutekeleza mauaji yoyote ni halali na ni baraka za mbinguni".
Naye R.W.Thomson katika kitabu The Footprints of the Jesuits, Hunt and Eaton uk.54 anaelezea kiapo cha kuwa mwanachama wa Jesuits kwa kusema; 
"Nitajiweka katika kundi la wafu siku zote. Nitakuwa tayari kuondoa uhai wa mtu yeyote hata wa kwangu maadamu tu nimepokea amri kutoka kwa Baba (mkuu wa Jesuits). Nitafanya kazi ya ujasusi kwa uaminifu na makini ya hali ya juu kueneza itikadi zao duniani".

Kasi ya meli ilitisha sana ndipo telegramu za tahadhari zilimiminika kwa nahodha, Pamoja na telegramu zaidi ya nane alizotumiwa Nahodha Edward Smith kubadilisha mwelekeo wa meli, yeye aliendelea kuelekeza Titanic katika barafu iliyoganda chini ya bahari tena kwa kuchochea mwendo mkali kwani alitii amri kutoka wakuu. Ndipo meli "isiyozama" ilipoivaa barafu na kuchanika vipande vipande na kuua wote waliokuwa wamelengwa isipokuwa mke wa  bilionea John Jacob Astor aliyeokolewa na boya.

Haya yanahesabiwa kama mafanikio makubwa ya shirika hilo la kijasusi katika historia yao. Na ilipofika 1913 Benki ya Akiba iliweza kuanzishwa nchini Marekani na miezi minane mbele Jesuits waliweza kutumia fedha kuanzisha Vita Kuu ya kwanza ya dunia na kuua mamilioni ya watu.

Huo ndio ukweli nyuma ya pazia ya kuzama kwa meli maarufu ya Titanic ambayo ni simulizi inayowaliza wengi.
Leonardo Di Caprio amejaribu tu kutupa ladha ya mapenzi katika filamu za dunia ya leo lakini ukweli unabaki wazi TITANIC ilizama na mengi yaliyokuwa nyuma ya pazia.

Labda msomaji anaweza kujiuliza je, hili shirika la Jesuits bado ipo duniani? Mwandishi Bill Hughes anatupa jibu katika kitabu The Secret Terrorists kwa kusema; "Hili ni shirika lililo hai jana, leo na kesho hadi pale utawala wao utakaposimikwa duniani kote".  ...............>>>>MWISHO.

Kama nilivyosema hapo awali Francis Browne alikuwa bize na kurunzi mkononi akiamini Camera yake ingepata picha za maiti nyingi za vibopa,
pia nahodha wa meli Edward Smith alikuwa akikimbiza Meli kuelekea uelekeo tofauti akifuata maagizo ya wakuu(jesuits).
W.C.Brownlee katika kitabu Secret Instructions of the Jesuits, American and Foreign Christian Union uk.143 anaweka wazi kwa kusema;
"Katika Jesuit, kuua watu wasio na hatia ni ruhusa, hivyo kutekeleza mauaji yoyote ni halali na ni baraka za mbinguni".
Naye R.W.Thomson katika kitabu The Footprints of the Jesuits, Hunt and Eaton uk.54 anaelezea kiapo cha kuwa mwanachama wa Jesuits kwa kusema;
"Nitajiweka katika kundi la wafu siku zote. Nitakuwa tayari kuondoa uhai wa mtu yeyote hata wa kwangu maadamu tu nimepokea amri kutoka kwa Baba (mkuu wa Jesuits). Nitafanya kazi ya ujasusi kwa uaminifu na makini ya hali ya juu kueneza itikadi zao duniani".

Kasi ya meli ilitisha sana ndipo telegramu za tahadhari zilimiminika kwa nahodha, Pamoja na telegramu zaidi ya nane alizotumiwa Nahodha Edward Smith kubadilisha mwelekeo wa meli, yeye aliendelea kuelekeza Titanic katika barafu iliyoganda chini ya bahari tena kwa kuchochea mwendo mkali kwani alitii amri kutoka wakuu. Ndipo meli "isiyozama" ilipoivaa barafu na kuchanika vipande vipande na kuua wote waliokuwa wamelengwa isipokuwa mke wa bilionea John Jacob Astor aliyeokolewa na boya.
Haya yanahesabiwa kama mafanikio makubwa ya shirika hilo la kijasusi katika historia yao. Na ilipofika 1913 Benki ya Akiba iliweza kuanzishwa nchini Marekani na miezi minane mbele Jesuits waliweza kutumia fedha kuanzisha Vita Kuu ya kwanza ya dunia na kuua mamilioni ya watu.
Huo ndio ukweli nyuma ya pazia ya kuzama kwa meli maarufu ya Titanic ambayo ni simulizi inayowaliza wengi.
Leonardo Di Caprio amejaribu tu kutupa ladha ya mapenzi katika filamu za dunia ya leo lakini ukweli unabaki wazi TITANIC ilizama na mengi yaliyokuwa nyuma ya pazia.

Labda msomaji anaweza kujiuliza je, hili shirika la Jesuits bado ipo duniani? Mwandishi Bill Hughes anatupa jibu katika kitabu The Secret Terrorists kwa kusema;

 "Hili ni shirika lililo hai jana, leo na kesho hadi pale utawala wao utakaposimikwa duniani kote". 

                                     MWISHO.

Endelea kutembelea www.bantutz.com uweze kusoma makala mbalimbali,"JICHO LANGU LA TATU" nakuletea makala zenye kusisimua kwa kufichua maovu na kukuongezea maarifa mbalimbali ambayo si rahisi kuyapata sehemu nyingine.Bantu Inc iko katika mchakato wa kufungua Social Network ambayo itaanza kufanya kazi mwaka kesho.Nitakuwa na sehemu maalumu kwa ajili ya makala zangu za kuvutia,kusisimua na kufundisha.  

                                    

                            


Imeandaliwa na........... 
                                     Katemi Methsela
                                      +255716418657
                                      +255785442107

Majeruhi wazidi kuongezeka Arsenal.

 Kwa sasa tuna wachezaji kumi wa kikosi cha kwanza wapo nje kwa majeruhi. Katika mchezo wa jana wa timu ya taifa Uingereza kufuzu Euro 2016 Danny Welbeck alitonesha enka yake na kutolewa nje dakika 10 kabla ya mpira kumalizika na moja kwa moja alielekea katika chumba cha kubadilishia ngua kwa ajili ya uchunguzi wa jeraha lake.
Ikiwa Danny atakua nje basi taungana na Sanogo pamoja na Giroud ambao wamemtangulia kua nje kwa majeruhi. 

Wengine watakaokua nje ni Mesut Ozil, kiungo mfungaji Aaron Ramsey, beki wa kati Laurent Koscielny, kiungo mkabaji Mikel Arteta, majeruhi wa muda wote Abou Diaby, beki wa kulia Mathieu Debuchy, na chipukizi wa ki-jerumani Serge Gnabry. 

Kati ya hawa nani hasa unadhani utammisi?

Kwa sasa tuna wachezaji kumi wa kikosi cha kwanza wapo nje kwa majeruhi. Katika mchezo wa jana wa timu ya taifa Uingereza kufuzu Euro 2016 Danny Welbeck alitonesha enka yake na kutolewa nje dakika 10 kabla ya mpira kumalizika na moja kwa moja alielekea katika chumba cha kubadilishia ngua kwa ajili ya uchunguzi wa jeraha lake.
Ikiwa Danny atakua nje basi ataungana na Sanogo pamoja na Giroud ambao wamemtangulia kuwa nje kwa majeruhi.

Wengine watakaokuwa nje ni Mesut Ozil, kiungo Aaron Ramsey, beki wa kati Laurent Koscielny, kiungo mkabaji Mikel Arteta, majeruhi wa muda wote Abou Diaby, beki wa kulia Mathieu Debuchy, na chipukizi wa ki-jerumani Serge Gnabry.

Essien akana kuugua Ugonjwa wa Ebola

 

Baada ya kuripotiwa kuugua ugonjwa wa EBOLA - hatimaye kiungo wa kimataifa wa Ghana Micheal Essien amejitokeza na kusema yeye ni mzima wa afya - hajaathirika na ugonjwa huo.

Tanzania yaifumua Benin 4-1

Taifa Stars imeitungua Benin kwa mabao 4-1
katika mechi ya kitarafiki ya kimataifa
iliyochezwa leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini
Dar es Salaam.

Mabao ya Stars yalifungwa na wachezaji wake
wawili wanaokipiga nchini na wawili
wanaocheza nje ya Tanzania.
Nadir Ali Harob ‘Cannavaro’ wa Yanga ndiye
alianza kabla ya Amri Kiemba wa Simba
kuongeza la pili.

Mabao mengine mawili yalifungwa na na
Thomas Ulimwengu kutoka TP Mazembe na
Juma Luizio anayekipiga Zesco ya Zambia.

Stars ilionyesha kiwango kizuri na kuwazidi
ujanja Benin katika mechi hiyo inayotambuliwa
na Shirikisho la Soka la Kimaitaifa.

Linex akana shutuma za uvutaji wa Bangi.

 Kwa mala ya kwanza Leo nimegoma kujibu swali ambalo nimekua nikiulizwa Sana na vyombo vya habari ma swali lenyewe nikuhusi Mimi kujihusisha na matumizi ya uvutaji Bangi Leo nawabia watanzania na wasio watanzania Mimi sijawahi kua mvuta Bangi maisha yangu yote na Kama nna Vuta Mungu ananiona na ningekua mvuta bangi nisingekua na sababu ya kukataa wavuta bangi hamuwasemi hamuwaulizi swali hilo Mimi nisievuta ndo kila siku naulizwa hlo swali naridia tena Sijawahi kua mvuta Bangi sina ratiba ya kutumia dawa za aina yoyote ya kulevya Msinijudge kwa muonekano wangu hivi ndivyo nilivyo na siwezi kua MTU mwingine #Sunday Mangu
Kupitia ukuarasa wake wa facaebook,Sunday Mjeda aliandika hiki

Kwa mala ya kwanza Leo nimegoma kujibu swali ambalo nimekua nikiulizwa Sana na vyombo vya habari ma swali lenyewe nikuhusi Mimi kujihusisha na matumizi ya uvutaji Bangi Leo nawabia watanzania na wasio watanzania Mimi sijawahi kua mvuta Bangi maisha yangu yote na Kama nna Vuta Mungu ananiona na ningekua mvuta bangi nisingekua na sababu ya kukataa wavuta bangi hamuwasemi hamuwaulizi swali hilo Mimi nisievuta ndo kila siku naulizwa hlo swali naridia tena Sijawahi kua mvuta Bangi sina ratiba ya kutumia dawa za aina yoyote ya kulevya Msinijudge kwa muonekano wangu hivi ndivyo nilivyo na siwezi kua MTU mwingine ‪#‎Sunday‬ Mangu

Sunday 12 October 2014

Nyuma Ya Pazia Kuzama kwa Meli Ya Titanic-Sehemu Ya Pili


Photo: UKWELI KUHUSU KUZAMA KWA TITANIC--Sehemu ya 4

Naam matajiri wote walishaingia ndani ya Meli wakiongozwa na John Jacob Astor  ambaye kama nilivyosema hapo awali huyu ndiye alikuwa bilionea namba 1 duniani kwa wakati huo, 
Hakuna yeyote aliyejua kwamba Meli hii ya kifahari ilikuwa inageuzwa kaburi lao muda mfupi ujao,
Harufu ya damu ilinukia kwa kiila Jesuist aliyekuwa melini,hii inathibitishwa na Edward Smith ambaye alikuwa ni nahodha wa Titanic lakini akiwa ni Jesuit hodari.

Edward Smith amekuwa nahodha kwa miaka 26 akiwa na uzoefu wa kutosha na ruti za bahari ya Atlantiki. Amefanya kazi kwa miaka mingi akiwa ndani ya kampuni ya J.P. Morgan.

Hatimaye ilipofika tarehe 10 Aprili, 1912 Titanic iling'oa nanga chini ya nahodha Edward Smith kwa maelekezo ya mkuu wa shirika la Jesuits Francis Browne ambaye naye alikuwepo ndani ya paradiso hiyo inayoelea.

Mwandishi Eric J. Phelps katika kitabu chake, Vatican Assassin anasema; "Francis Browne aliingia ndani ya Titanic tayari akiwa na kurunzi na kamera ya kupiga picha watakaokufa hasa walengwa".

Si Edward Smith tu, lakini kila Jesuit huamini kwa kiapo kuwa amri ya mkuu wao ni amri kutoka kwa Mungu ambaye ni Bwana wa uhai na mauti. Kwa jinsi hiyo saa na dakika zilipowadia Edward Smith alipokea amri ya kutoka kwa wakuu " KIJANA ZAMISHA HIYO MELI HARAKA" 
Na ndipo Edward akaongeza kasi ya Meli kuelekea usawa ule aliolekezwa na wakuu, na wakati huo ndio Francis Browne alikuwa bize na kurunzi mkononi akiamini Camera yake ingepata picha za maiti nyingi za vibopa muda si mrefu....ITAENDELEA.
Naam matajiri wote walishaingia ndani ya Meli wakiongozwa na John Jacob Astor ambaye kama nilivyosema hapo awali huyu ndiye alikuwa bilionea namba 1 duniani kwa wakati huo,
Hakuna yeyote aliyejua kwamba Meli hii ya kifahari ilikuwa inageuzwa kaburi lao muda mfupi ujao,
Harufu ya damu ilinukia kwa kila Jesuist aliyekuwa melini,hii inathibitishwa na Edward Smith ambaye alikuwa ni nahodha wa Titanic lakini akiwa ni Jesuit hodari.

Edward Smith amekuwa nahodha kwa miaka 26 akiwa na uzoefu wa kutosha na ruti za bahari ya Atlantiki. Amefanya kazi kwa miaka mingi akiwa ndani ya kampuni ya J.P. Morgan.

Hatimaye ilipofika tarehe 10 Aprili, 1912 Titanic iling'oa nanga chini ya nahodha Edward Smith kwa maelekezo ya mkuu wa shirika la Jesuits Francis Browne ambaye naye alikuwepo ndani ya paradiso hiyo inayoelea.

Mwandishi Eric J. Phelps katika kitabu chake, Vatican Assassin anasema; "Francis Browne aliingia ndani ya Titanic tayari akiwa na kurunzi na kamera ya kupiga picha watakaokufa hasa walengwa".

Si Edward Smith tu, lakini kila Jesuit huamini kwa kiapo kuwa amri ya mkuu wao ni amri kutoka kwa Mungu ambaye ni Bwana wa uhai na mauti. Kwa jinsi hiyo saa na dakika zilipowadia Edward Smith alipokea amri ya kutoka kwa wakuu " KIJANA ZAMISHA HIYO MELI HARAKA"
Na ndipo Edward akaongeza kasi ya Meli kuelekea usawa ule aliolekezwa na wakuu, na wakati huo ndio Francis Browne alikuwa bize na kurunzi mkononi akiamini Camera yake ingepata picha za maiti nyingi za vibopa muda si mrefu....



  ---ITAENDELEA--

Imeandaliwa na........... 
                                     Katemi Methsela
                                      +255716418657
                                      +255785442107

Friday 10 October 2014

MAJINA YA MIKOPO VYUO VIKUU KWA WANAOINGIA MWAKA WA KWANZA

Majina ya wanafanzi wa Vyuo vikuu waliopata mikopo kutoka Bodi ya Mikopo Kwa Elimu ya Juu yametoka leo hii.
BantuTz imekurahisishia ingia hapa.......MAJINA YA MIKOPO

Basher Othman-Kiongozi mwenye Umri Mdogo zaidi Duniani.

 
Akiwa na umri wa miaka 16 tu, amefanikiwa kuingia katika serikali ya Palestina akiwa kama Waziri wa Utawala wa Ndani. Binti huyu aliezaliwa mwaka 1998 aliweza kuliongoza jimbo lake la Allar kama Meya kwa kipindi cha miezi 3 kabla hajateuliwa kuwa Waziri.

Je huyu ni nani?
Anaitwa Bashaer Othman, binti wa Kipalestina aliezaliwa tarehe 17 Agosti 1998 katika jimbo la Allar lililopo katikati ya mkoa wa West Bank Hills nchini Palestina. Anaweza kuwekwa katika kundi la watu wenye upembuzi na upeo mkubwa wa vitu (Gifted People) kutokana na uwezo wake mkubwa alionao katika uvumbuzi na upambanuzi wa vitu tofauti tofauti  kwenye jamii yake katika umri mdogo alionao. Uwezo wake katika maamuzi na kipaji cha uongozi alivyonavyo binti huyu ndio vilivyomfanya aishie Elimu ya Sekondari kabla ya kuchaguliwa na wananchi wake kuwa Meya wa jimbo la Allar.


Mnamo tarehe 02 Mei 2013 akiwa na umri wa miaka 14 (Miaka 15 kasoro miezi mitatu), Bashaer Othman alichaguliwa na wananchi wake kuongoza jimbo lenye wakazi zaidi ya 9000 kama Mstahiki Meya wa Allar kwa kipindi cha miaka 5 akiwa na kauli mbiu isemayo "Nothing Is Impossible". Malengo yake ilikuwa ni kuwaweka vijana wote wa kiPalestina katika agenda za kisiasa ndani ya  mamlaka ya Palestina.
Ndani ya miezi 3 tu, kutokana na ufanisi mzuri wa kazi, Bashaer Othman aliteuliwa na Rais wa Mamlaka ya Palestina Bw. Mahmoud Abbas kuwa Waziri wa Utawala wa Ndani (Local Administration) katika siku ambayo alikuwa akisherehekea siku yake ya kuzaliwa akitimiza miaka 15 kamili mnamo tarehe 17 Agosti 2013. 

Uteuzi huu ulimfanya kuweka rekodi ya kuwa Waziri mwenye umri mdogo kuwahi kutokea duniani mpaka sasa na pia kuwa Meya wa kwanza wa kike kuongoza jimbo lenye wakazi zaidi ya 9000. Katika kuapishwa kwake, Waziri Mkuu wa Palestina (kabla hajajiuzuru) ndugu Salam Fayyad aliweza kusema "She could have spent the long hot summer holiday hanging out with friends or helping at home, but instead she's making speeches, signing documents, chairing meetings, attending civic functions and meeting citizens as Mayor of Allar"  akimaanisha kuwa, Huyu binti ilitakiwa atumie muda wake kufurahi na marafiki zake au kusaidia shughuli za nyumbani ila alitumia muda wake katika kuhutubia, kusaini nyaraka mbalimbali, kuongoza na kusimamia vikao, kujihusisha na shughuri za kiraia na kukutana na wananchi wa jimbo lake akiwa kama Meya wa Allar.
 
Katika nafasi yake ya Uwaziri, tayari ameanzisha mikakati mbalimbali ya kuwainua vijana nchini Palestina ikihusiana na kutoa nafasi kwa vijana kushiriki kwenye shughuli za kijamii pamoja na kuwa sehemu muhimu katika mfumo wa kisiasa wa Palestina kwa siku zijazo. Katika uongozi wake pia, Dada huyu Mheshimiwa ameweza kuwahimiza wanawake wengi zaidi nchini humo kujituma na kujiingiza katika shughuri za kiuchumi na kisiasa pia.
Binti huyu alinukuliwa akisema "At the begining, people were criticised because of our age, but then they saw us working, and that we were tough and dedicated, and now they respect us" akiwa na maana ya kwamba, wakati anaanza majukumu yake, watu walimdharau na kumkosoa sana kwa sababu ya umri mdogo alionao, ila wameona anafanya kazi kwa nguvu na kutoa mfano katika jamii sasa wanamheshimu. Vilevile binti huyu anasema anatamani kutengeneza miradi mingi itakayotoa fursa za ajira kwa vijana ili kuwazuia vijana wengi wa kiPalestina wanaotimkia nchini Israel kufanya kazi za kujitolea. " Many people are crossing the Green Link to work, instead of them going to work as Cheap Labours in Israel, we need to create jobs here".

Pamoja na muda mchache wa kuwa kiongozi mkubwa nchini Palestina, Bashaer anatumiwa na nchi yake katika ufanyaji wa maamuzi na pia kuwainua vijana ambapo ameunda Tume ya Vijana wenye upeo mkubwa na uweredi wa kutengeneza sera bila kuzingatia utofauti wa vyama vya kisiasa uliopo nchini umo ili kutengeneza uzito wa kisiasa na elimu bora kwa kizazi cha sasa na kijacho nchini Palestina.
Pia ameweza kuhudhuria vikao kadhaa vya Umoja wa Mataifa vinavyohusu mgogoro wa ardhi uliopo kati ya Palestina na Israel.

Huyu ndio Bashaer Othman, Waziri mwenye rekodi ya umri mdogo kuliko wote Duniani na pia mwenye kipaji cha hali juu katika uongozi.

           Imeandaliwa na..............
                                                   Harvey Steven

Mechi mbalimbali zitakazochezwa leo hii.


LEO IJUMAA

MECHI ZA KUFUZU EURO 2016
9:45 PM - Latvia vs Iceland
9:45 PM - Netherlands vs Kazakhstan
9:45 PM - Turkey vs Czech Republic
9:45 PM - Belgium vs Andorra
9:45 PM - Cyprus vs Israel
9:45 PM - Wales vs Bosnia-Herzegovina
9:45 PM - Bulgaria vs Croatia
9:45 PM - Italy vs Azerbaijan
9:45 PM - Malta vs Norway

MECHI ZA KIRAFIKI KIMATAIFA
1:25 PM - Japan vs Jamaica
2:00 PM - South Korea vs Paraguay
2:35 PM - China vs Thailand
3:00 PM - Uzbekistan vs Bahrain
5:30 PM - Oman vs Costa Rica
5:30 PM - United Arab Emirates vs Australia
8:15 PM - Saudi Arabia vs Uruguay

KESHO JUMAMOSI
2:00 AM - Chile vs Peru
2:00 AM - United States vs Ecuador
3:00 AM - Colombia vs El Salvador

MATOKEO YA MECHI ZA KUFUZU EURO 2016

Group C
Slovakia (Kucka '17, Stoch '87) 2-1 Spain
(Alcacer 83)

Belarus 0-2 Ukraine (Martynovich '82 og,
Sydorchuk '90)

Macedonia (Trajkovski '20, Jahovic '66,Abdurahimi '90) 3-2 Luxembourg (Bensi '39,
Turpel '44)

Group E
England 5-0 San Marino (Jagielka '25, Rooney
'43 pen,78, Webeck '49, Townsend '72)

Lithuania 1-0 Estonia (Mikoliunas '76)

Slovenia 1-0 Switzerland ( Novakovic '79 pen)

Group G
Liechtenstein 0-0 Montenegro

Moldova (Dedov '27 pen) 1-2 Austria (Alaba '12
pen, Janko '51)

Sweden (Toivonen) 1-1 Russia (Kokorin '10)

MANCHESTER UNITED WAPO TAYARI KUMLIPA TYLER BLACKETT £ 50,000 KWA WIKI

-Uongozi wa Manchester United umetangaza
rasmi kwamba wapo katika hatua ya mwisho ya
kuuboresha mkataba wa beki kinda mwenye
umri wa miaka 20,Tyler Blackett ili aendelee
kuwepo kikosini hapo baada ya kuonekana bora
na kocha Van Gaal. Tyler Blackett atasaini
mkataba ambao atakuwa anapokea kiasi cha £
50,000 tofauti na awali ambapo alikuwa
anapokea £ 2,000.

Thursday 9 October 2014

Daley Blind "Siko tayari kulinganishwa na Roy Keane"

 Photo: Today's training session, still learning every day! #MUFC

Blind alisema ameyazoea maisha ya Manchester United kwa muda mfupi,lakini asisitiza kuwa nimapema sana kumlinganisha na Roy Kean,

Blind alisema "tusiende mbali sana,maendeleo yangu ni mazuri kwa sasa lakini ndo kwanza tunaanza"
"naweza kusema mwanzo wangu ni mzuri. Katika ligi ya England sio kawaida kwa timu kucheza kuanzia nyuma lakini Manchester united wanafanya hivyo,nahapo ndipo msingi wangu mzuri toka Ajax unapo tumika,kuanzia nyuma ilikujenga mashambulizi ndio njia yetu ya pili"

 Japo kua alikulia Ajax Blind hakuwahi kujua jinsi gani Manchester United ni kubwa mpaka pale siku alivyo tangwazwa rasmi kuwa mchezaji wa Manchester Uited ambapo ukurasa wake wa Twitter ulipo fulika watu.

Blind alisema haya "nilipo tia saini tu kujiunga na Manchester United ndipo ukurasa wangu wa twitter ulipo lipuka kwa kujaa watu hii klabu ni kubwa sana"

"Sir Bobby Charlton huja katika chumba cha kubadilishia nguo kila baada ya mechi,ni vizuri kumuona huwa asemi mengi ila uwepo wake ni kama kioo cha timu"


"Robin Van Persie alinisaidia sana nyakati za mwanzoni,sasa hivi najiachia na wachezaji wengine pia,tuna grupu zuri la wachezaji kama Di Maria na Falcao"


"wachezaji waviwango vya dunia.Falcao ni mtu mwenye aibu sana ukikutana nae kwa mara ya kwanza,ni kwangu mimi kufikia uwezo kama wao na historia yangu toka Ajax inakuja hapo pia"


"nilikua nimesha zoea mechi za ligi ya mabingwa jinsi tunavyo cheza mara 3 kwa wiki.Ligi ya England ni yakutumia nguvu sana na ngumu,lakini naiweza,tuna majeruhi wengi lakini mimi nipo vizuri "

Ronaldo kuzeekea Real Madrid

 Photo: Cristiano Ronaldo 'KUZEEKEA' MADRID
Cristiano Ronaldo hana nia ya kurejea Manchester United na atamalizia kucheza soka yake Real Madrid, amedai wakala wake Jorge Mandes. Ronaldo, 29, tayari amefunga magoli 15 msimu huu, ikiwemo kufikisha hat trick 22 katika La Liga. Taarifa zimekuwa zikimhusisha Ronaldo kurejea Old Trafford kwa uhamisho wa pauni milioni 80. Mendes amesema: "Cristiano ameridhika sana Real Madrid. Ataendelea kuvunja rekodi zote hapo na kustaafu hapo." Wakala huyo amekiambia kituo cha radio cha Cadena COPE kuwa: "Huwezi kupata mchezaji mwingine kama yeye. 
"Anaendelea kuwa mchezaji bora, na ataendelea kuwa hivyo hadi atakapofika umri wa miaka 40.
"Anaipenda United kwa sababu moyo wake ulikuwa pale kwa miaka sita. Lakini sasa vyote anavyofikiria ni Real Madrid na atakuwepo hapo.
"Ndoto ya Cristiano ni kushinda Champions League. Huwa bado ana njaa, na siku zote anataka zaidi.
"Haishi kushangaza watu. Ni vigumu kupata mtu yeyote kama yeye katika historia ya soka."
Ronaldo aliondoka Manchester United kwenda Real Madrid mwaka 2009 kwa uhamisho wa pauni milioni 80.
Meneja wa Manchester United Louis van Gaal alikiri mwezi uliopita kuwa angependa kumsajili kiungo huyo, lakini hatarajii kama Real Madrid watakuwa tayari kumuuza.

Cristiano Ronaldo hana nia ya kurejea Manchester United na atamalizia kucheza soka yake Real Madrid, amedai wakala wake Jorge Mandes. 
Ronaldo, 29, tayari amefunga magoli 15 msimu huu, ikiwemo kufikisha hat trick 22 katika La Liga. Taarifa zimekuwa zikimhusisha Ronaldo kurejea Old Trafford kwa uhamisho wa pauni milioni 80. 
 
Mendes amesema: "Cristiano ameridhika sana Real Madrid. Ataendelea kuvunja rekodi zote hapo na kustaafu hapo." 
 
 Wakala huyo amekiambia kituo cha radio cha Cadena COPE kuwa: "Huwezi kupata mchezaji mwingine kama yeye.
"Anaendelea kuwa mchezaji bora, na ataendelea kuwa hivyo hadi atakapofika umri wa miaka 40.
"Anaipenda United kwa sababu moyo wake ulikuwa pale kwa miaka sita. Lakini sasa vyote anavyofikiria ni Real Madrid na atakuwepo hapo.
"Ndoto ya Cristiano ni kushinda Champions League. Huwa bado ana njaa, na siku zote anataka zaidi.
"Haishi kushangaza watu. Ni vigumu kupata mtu yeyote kama yeye katika historia ya soka."
 
Ronaldo aliondoka Manchester United kwenda Real Madrid mwaka 2009 kwa uhamisho wa pauni milioni 80.
Meneja wa Manchester United Louis van Gaal alikiri mwezi uliopita kuwa angependa kumsajili kiungo huyo, lakini hatarajii kama Real Madrid watakuwa tayari kumuuza.

John Stones nje hadi 2015



Beki wa Everton na timu ya taifa ya England John Stones huenda asicheze hadi mwakani baada ya kuthibitishwa kuwa anahitaji kufanyiwa upasuaji katika kifundo cha mguu.

Stones, 20, aliumia katika mchezo dhidi ya Manchester United siku ya Jumapili na anatarajiwa kutocheza kati ya wiki 10 hadi 14.