Facebook

Thursday 11 December 2014

Ashinda akila 'Toilet paper' kisa Ujauzito.


Jade Sylvester mwenye umri wa miaka 25 anashindia toilet paper mwaka sasa tangia kuanza tabia hiyo ya kula karatasi za maliwato. 
Mimba ya kwanza ndiyo ilisababsiha haya yote, akina mama wengi upatwa na mikasa kama hii ya kupenda kula vitu ambavyo kwa hali ya kawaida huwa ni vigumu kufanya.Jade ubugia mizigo 8 kwa siku na anashindwa kujizuia kupenda kula mzigo huo licha ya kutokuwa na mimba kwa sasa.

0 comments:

Post a Comment